swali

swali

Viper

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2007
Posts
3,666
Reaction score
1,404
Kama Umemkuta mume wako na Mama yako katika Mkao a kimahaba utafanya nini?
 
Kama Umemkuta mume wako na Mama yako katika Mkao a kimahaba utafanya nini?

nitachunguza chanzo cha mkao huo ni nini na umeanza lini then nitachukua hatua itakayokuwepo wakati huo
 
mama simama kwenye nafasi yako, ni lazima mumeo na mamako wajuwe mipaka yao, unavunja ukimya hapo, other wise mamako ataliwa na mkwewe!
 
mama simama kwenye nafasi yako, ni lazima mumeo na mamako wajuwe mipaka yao, unavunja ukimya hapo, other wise mamako ataliwa na mkwewe!
Maana yake ni kwamba wewe hujui kupika. Muombe mama yako akupe tuition.
 
Nadhani watakuwa wanabanjuana ...ni kuvunja ukimya tu hapo
 
Back
Top Bottom