The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Waandaaji nchini Sweden wachana chana Quran na kupiga teke Quran hadharani jana siku ya Alhamisi, tarehe 20 July 2023.
Waandamanaji hao walitishia kuichoma Quran lakini baadae wakaahirisha na kuchana chana quran hadharani.
Hatua hiyo imepelekea mabaloxi wa Sweden kuitwa na kuhojiwa kwenye nchi nyingi za kiislamu. Ubalozi wa Sweden umechomwa moto nchini Iraq.
Kumbuka siku ya Idd raia wa Iraq anaeishi Sweden alichoma Quran hadharani nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm.
Soma hapa.
www.aljazeera.com
Waandamanaji hao walitishia kuichoma Quran lakini baadae wakaahirisha na kuchana chana quran hadharani.
Hatua hiyo imepelekea mabaloxi wa Sweden kuitwa na kuhojiwa kwenye nchi nyingi za kiislamu. Ubalozi wa Sweden umechomwa moto nchini Iraq.
Kumbuka siku ya Idd raia wa Iraq anaeishi Sweden alichoma Quran hadharani nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm.
Soma hapa.
Countries summon Sweden’s envoys to protest against Quran burning
Sweden’s ambassadors summoned by various countries to lodge protest over incidents in Stockholm.