niwe na wasi wasi gani? kuna free service duniani?About the ABC
Information about the Australian Broadcasting Corporation including history, management, corporate reports, plans and submissions and the latest news from our media centre.about.abc.net.au
===Fighting ‘disinfo’ or chilling attack on free speech? Democrats ask cable operators why they don’t CENSOR Fox News, OAN & Newsmax
In a move condemned by Republicans as a “troubling” attack on free press, Democrats have asked cable and digital operators to justify carrying Fox News, OAN and Newsmax ahead of a hearing on media “disinformation and extremism.”www.rt.com
Kwa nini hupati wasiwasi wa Big High-Tech na Big Pharma, wapiga debe wakubwa wa bidhaa za mambo ya corana, wameungana kuhakikisha habari za mtandao huu haizisambai!? Kuwa mdadisi ndugu....! "Kulishwa kwa kijiko" kila kitu hakufai!
brother wyatt. takwim zipo na wanatangaza. isipokuwa za corona tu.zipo.....ila ni mwiko kuzitangaza..ila zipo,,korona hata kupima ni mwiko
Masoud aache uhuni chonganishi!
Miaka ya nyuma hao jamaa walikuwa kiasi fulani hawajaona kama afya ya binadamu ni bidhaa ya kutengeneza faida pia ni nyenzo ya kuwafanya wasio wataka wakuwazidi wawe submissive kwao! Leta swali lingine, mkuu. Ni bampa kwa bamba leo! Ha ha haaamiaka yote hiyo hatujawahi hofia,why leo?
Ndiyo ukweli huo mkuu......mawaziri siyo kwamba hawapendi kujikinga ila wanamuogopa president wa ziko letuMasoud aache uhuni chonganishi!
yoo man . chill brother. hawa jamaa hata uwapigie kelele vip. hawato elewa.Korona hadi kupima unakatazwa
It shows watawala ndio waoga zaidi ya wananchi
Wananchi hawahusiki na uoga wao,wao ndio waoga,wanataka kuambukiza uoga wao kwa wananchi wote
Utasikia eti hatutaki "kuogopesha" wananchi,wakati hakuna research yeyote waliyofanya eti wananchi ni waoga,hata wala hatujawatuma pahala watusaidie kuogopa on our behalf
These motherfvckers are so crazy ni waoga kiasi kwamba eti wanakubali waganga waanze kuagua wananchi kuhusu corona
These motherfvckers make me sick!
EeheeeTakwimu za wagonjwa wanaokufa au kuambukizwa ukimwi kila siku unazo? Sasa kwanini ulilie za corona?
Nchi zilizoendelea kuna vijarida vya mtaa kwa mtaa wanapewa bure huko kuna habari Kama za hizo nyingi mno mimi siwaelewi mkiambiwa kitu hata kama mkiona kina makosa akili yenu inakataa kuwaambia ukweli Hilo nalo linahitaji sayansi ipi kweli ?
kwani corona ni sawa na ukimwi?? huwezi kuzifananisha maana njia za maambukizi pia hazifanani.
Mmh sidhani kama nchi hii kuna aliyepinga matumizi ya mask, naamini hayupo isipokuwa kilichotelewa tahadhari ni matumizi ya mask kutoka nje ya TZ ndio maana MSD wanauza zilizozalishwa hapa kwetu.
Ni kweli wamelazimishwa?Hivi kujifukiza kunasaidia nini? Kuna video moja nimeona wanajeshi wanalazimishwa kuingia kwenye chumba cha mafusho
Jeshini hamna hiari, umeenda jeshini wewe au unaleta u machi nooo wa JAMIIFORUMS?Wa
Ni kweli wamelazimishwa?
Mimi nimeuliza swali. U much know nimeuonyesha wapi?Jeshini hamna hiari, umeenda jeshini wewe au unaleta u machi nooo wa JAMIIFORUMS?
Nipe mtama wanguMimi nimeuliza swali. U much know nimeuonyesha wapi?
Acha ubabe, ungenijibu kistaarabu ingetosha. Kuku wewe!
Jeshini hamna hiari ni amriMimi nimeuliza swali. U much know nimeuonyesha wapi?
Acha ubabe, ungenijibu kistaarabu ingetosha. Kuku wewe!