Pre GE2025 Sweetheart wa Wapinzani Nay wa Mitego anapaishwa sana? Nyimbo zake zina faida gani tangu aanze 'kuimbia wananchi'?

Pre GE2025 Sweetheart wa Wapinzani Nay wa Mitego anapaishwa sana? Nyimbo zake zina faida gani tangu aanze 'kuimbia wananchi'?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Najua kwa sasa Nay Wa Mitego ndiyo hot cake kwa wapinzani. Yeye na Roma ndio wasanii pekee upande wa mainstream ambao wamekuwa na uwezo wa kuzungumzia yale mambo yanayoendelea nchini.

Soma pia: Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

Nay wa Mitego recently, ametoa wimbo wake unaoitwa Nitasema ambao ofcourse umezungumzia mambo ya utekaji na mengineyo yanayoendelea. Lakini swali la kujiuliza ni je nyimbo zake zina impact yoyote?

Na ili kuweza kujibu swali hilo ni lazima tujiulize maswali yafuatayo:

1. Lini serikali ilishawahi kubadilisha maamuzi yake kutokana na ngoma za Nay Wa Mitego?

2. Je ngoma aliyoitoa itawashawishi wasanii wengine kubadilisha upepo wao wa kuitetea CCM na kuanza kusemea wananchi?

3. Nay ni anakosoa au anaongelea mambo yanayoendelea? Kuna utofauti kati ya kusema watu wanatekwa (which is obvious) na kusema seikali iwajibishwe?

4. Nay ameanza kuzungumzia serikali kitambo, lini mmesikia wananchi wamechukua hatua dhidi ya serikali kwa sababu ya nyimbo za Nay?

5. Je Nay angekuwa haitwi BASATA pindi akiwa anatoa ngoma, je ngoma zake zingekuwa kubwa kama zinavyokuwa pindi akiitwa?

Haya ni baadhi ya maswali ambayo nimekuwa najiuliza kuhusu Nay Wa Mitego. I'm not saying aache kuimbia mambo yanayoendelea but anachokifanya je kina impact kwa serikali?

Nawasilisha!
 
Kama baadhi ya watu wanazielewa hizo nyimbo zake, nadhani inatosha sana.
 
Hazina impact yoyote cause he is just talking about the problem instead of suggesting the valid solutions to the problem
 
Wakuu,

Najua kwa sasa Nay Wa Mitego ndiyo hot cake kwa wapinzani. Yeye na Roma ndio wasanii pekee upande wa mainstream ambao wamekuwa na uwezo wa kuzungumzia yale mambo yanayoendelea nchini.

Soma pia: Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

Nay wa Mitego recently, ametoa wimbo wake unaoitwa Nitasema ambao ofcourse umezungumzia mambo ya utekaji na mengineyo yanayoendelea. Lakini swali la kujiuliza ni je nyimbo zake zina impact yoyote?

Na ili kuweza kujibu swali hilo ni lazima tujiulize maswali yafuatayo:

1. Lini serikali ilishawahi kubadilisha maamuzi yake kutokana na ngoma za Nay Wa Mitego?

2. Je ngoma aliyoitoa itawashawishi wasanii wengine kubadilisha upepo wao wa kuitetea CCM na kuanza kusemea wananchi?

3. Nay ni anakosoa au anaongelea mambo yanayoendelea? Kuna utofauti kati ya kusema watu wanatekwa (which is obvious) na kusema seikali iwajibishwe?

4. Nay ameanza kuzungumzia serikali kitambo, lini mmesikia wananchi wamechukua hatua dhidi ya serikali kwa sababu ya nyimbo za Nay?

5. Je Nay angekuwa haitwi BASATA pindi akiwa anatoa ngoma, je ngoma zake zingekuwa kubwa kama zinavyokuwa pindi akiitwa?

Haya ni baadhi ya maswali ambayo nimekuwa najiuliza kuhusu Nay Wa Mitego. I'm not saying aache kuimbia mambo yanayoendelea but anachokifanya je kina impact kwa serikali?

Nawasilisha!
Kinawakumbusha wananchi wanaosikiliza. Inaweza kuwa kina indirect impact kwa serikali kwa kuwakumbusha wananchi vitu fulani.
 
Wakuu,

Najua kwa sasa Nay Wa Mitego ndiyo hot cake kwa wapinzani. Yeye na Roma ndio wasanii pekee upande wa mainstream ambao wamekuwa na uwezo wa kuzungumzia yale mambo yanayoendelea nchini.

Soma pia: Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

Nay wa Mitego recently, ametoa wimbo wake unaoitwa Nitasema ambao ofcourse umezungumzia mambo ya utekaji na mengineyo yanayoendelea. Lakini swali la kujiuliza ni je nyimbo zake zina impact yoyote?

Na ili kuweza kujibu swali hilo ni lazima tujiulize maswali yafuatayo:

1. Lini serikali ilishawahi kubadilisha maamuzi yake kutokana na ngoma za Nay Wa Mitego?

2. Je ngoma aliyoitoa itawashawishi wasanii wengine kubadilisha upepo wao wa kuitetea CCM na kuanza kusemea wananchi?

3. Nay ni anakosoa au anaongelea mambo yanayoendelea? Kuna utofauti kati ya kusema watu wanatekwa (which is obvious) na kusema seikali iwajibishwe?

4. Nay ameanza kuzungumzia serikali kitambo, lini mmesikia wananchi wamechukua hatua dhidi ya serikali kwa sababu ya nyimbo za Nay?

5. Je Nay angekuwa haitwi BASATA pindi akiwa anatoa ngoma, je ngoma zake zingekuwa kubwa kama zinavyokuwa pindi akiitwa?

Haya ni baadhi ya maswali ambayo nimekuwa najiuliza kuhusu Nay Wa Mitego. I'm not saying aache kuimbia mambo yanayoendelea but anachokifanya je kina impact kwa serikali?

Nawasilisha!
Duu hii sasa tumachoo! Yaani msanii akiimba bila kumtaja mama na CCM basi ni mpinzani! Tanzania imekuwa tambala bovu.
 
Back
Top Bottom