Sweetie niPM tukale bata

Sweetie niPM tukale bata

TajiriMutoto

Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
86
Reaction score
38
Mtaani wananiita mzee wa Bata a.k.a Tajiri Mutoto, 😎 yani huwa nakulaga bata mpaka kuku anaona wivu ahahah,
wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.

Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.

Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:

  • Asiwe kicheche.
    A%20S%20thumbs_down.gif
  • Awe anakunywa pombe, ila sio mlevi.
    A%20S-confused1.gif
  • Asiwe anavuta sigara.
    A%20S%20thumbs_down.gif
    A%20S-smoking.gif
  • Awe na sura nzuri 😛oa
  • Wenye umri mkubwa watapewa vipaumbele zaidi 😛oa
  • Awe na muda wa kula gudtym, asiwe mtu wa kufanya kazi weekend 😛oa
  • Wanene watapewa vipaumbele zaidi 😛oa


Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata! :msela:
 
Mimi kiswahili hapa kimenishinda, maana toka nione na kusikia ule wimbo albata, basi nilikuwa nafikiria kuwa kwa kiswahili cha mitaani watu wanaposema BATA wanamaanisha mwanamke hususan mwanamke mwenye makalio makubwa. lakini sasa naona watu wanatumia neno hili vinginevyo na nashindwa kuelewa hususan pale mwanamke anapotumia neno hili ilhali unajua kuwa hakusudii bata mnyama.
Nielimisheni wenzangu, kwa lugha za kisasa vijana wanaposema bata au albata wanakusudia nini hasa?
 
nenda jolly club,maisha club,new afrika casino.las vegas alafu utajifunza ni mwanamke gani wakuoa
 
Mtaani wananiita mzee wa Bata a.k.a Tajiri Mutoto, 😎 yani huwa nakulaga bata mpaka kuku anaona wivu ahahah,
wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.

Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.

Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:

  • Asiwe kicheche.
    A%20S%20thumbs_down.gif
  • Awe anakunywa pombe, ila sio mlevi.
    A%20S-confused1.gif
  • Asiwe anavuta sigara.
    A%20S%20thumbs_down.gif
    A%20S-smoking.gif
  • Awe na sura nzuri 😛oa
  • Wenye umri mkubwa watapewa vipaumbele zaidi 😛oa
  • Awe na muda wa kula gudtym, asiwe mtu wa kufanya kazi weekend 😛oa
  • Wanene watapewa vipaumbele zaidi 😛oa
  • Asiwe wa mizinga
    A%20S%20thumbs_down.gif


Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata! :msela:

Utakuwa unatatizo wewe, hautaki kupigwa mzinga!!!!
 
Nivea, umeongea hayo maeneo atapata majibu
 
nenda jolly club,maisha club,new afrika casino.las vegas alafu utajifunza ni mwanamke gani wakuoa

We nawe nivea kwani nimesema natafuta mwanamke wa kuoa? Nimesema naafuta wa kula nae bata & nothing serious. Afu kigezo cha kwanza asiwe kicheche, hao wa jolly kwangu sumu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom