Sweetie niPM tukale bata

Sweetie niPM tukale bata

WanaJF naona PM zinazidi kumiminika tu, wadada wa JF si mchezo asanteni sana, ebu na wewe ni PM tukale bata
 
mmmhhhh! ngoja nimalize kiduku kule kwa Zinduna nitarudi baadae kuona maendeleo, lol!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sangarara, Mizinga noma inarudisha nyuma maendelea, Bata mwanzo mwisho

Basi acha kusema unakula hela ndefu, au utakuwa hauelewi maana ya hela ndefu, maana kama unaona kuhonga mwanamke ni kutarudisha maendeleo yako nyuma inamaanisha kwamba hauwezi ukasimamia familia wewe.
 
Kama unataka wa bei chee TajiriMutoto nenda pale Kimboka au Uwanja wa fisi unajibebea toto la ukweli kama la geti kali kwa bei nafuu buku 5 tu mpaka kuna kucha we unakula kila pande unageuza huku unageuza kule full burudani
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka wa bei chee TajiriMutoto nenda pale Kimboka au Uwanja wa fisi unajibebea toto la ukweli kama la geti kali kwa bei nafuu buku 5 tu mpaka kuna kucha we unakula kila pande unageuza huku unageuza kule full burudani

Hao magonjwa mengi sikuiz ndugu yangu, noma
 
TajiriMutoto utafiti unaonyesha machangu asilimia 70 ndo salama kutokana nakwamba kila anaenda kubeba anajihami
 
Last edited by a moderator:
Mimi kiswahili hapa kimenishinda, maana toka nione na kusikia ule wimbo albata, basi nilikuwa nafikiria kuwa kwa kiswahili cha mitaani watu wanaposema BATA wanamaanisha mwanamke hususan mwanamke mwenye makalio makubwa. lakini sasa naona watu wanatumia neno hili vinginevyo na nashindwa kuelewa hususan pale mwanamke anapotumia neno hili ilhali unajua kuwa hakusudii bata mnyama.
Nielimisheni wenzangu, kwa lugha za kisasa vijana wanaposema bata au albata wanakusudia nini hasa?

hata nami huwa mara nyingi nachanganyikiwa na msemo huu
 
Mtaani kwetu umeishawaunganisha akina dada wote kwenye grid ya taifa, sasa na huku nako unataka hawa warembo wote wa JF nao uwaunganishie umeme, dogo si fresh hiyo. au kwa sababu wewe kupata ARVs siyo tatizo?
 
Mtaani kwetu umeishawaunganisha akina dada wote kwenye grid ya taifa, sasa na huku nako unataka hawa warembo wote wa JF nao uwaunganishie umeme, dogo si fresh hiyo. au kwa sababu wewe kupata ARVs siyo tatizo?


Nitake radhi mzee wa Seatle georgeallen, mi nimezungumzia kula bata na si vinginevyo unavyodhani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom