SWISSPORT KILIMANJARO AIRPORT - NI WAZEMBE

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Sijui nilireport hili kwa kwa nani ila naamini wapo wasafiri wengi wana weza kunisaidia;
Kwa wasio jua Swisport, hili nishirika kubwa sana duniani la kutoa huduma mbalimbali kwenye viwanja vya ndege..mojawapo ikiwa ni kuangalia/kupokea mizigo hasa ila ile inayo baki nyuma (haikuja na ndege husika

ikifika saa tatu usiku hawapokei tena simu, mara nyingine huizima kabisa; wakati shirika limejiandikisha kuwa wanafanya kazi 24hrs. Wangeweka Bango pale nje kuwa Swissport JRO mwisho wa kuhudumia watu ni saa mbili usiku hakuna mtu angewasumbua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…