Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Sijui nilireport hili kwa kwa nani ila naamini wapo wasafiri wengi wana weza kunisaidia;
Kwa wasio jua Swisport, hili nishirika kubwa sana duniani la kutoa huduma mbalimbali kwenye viwanja vya ndege..mojawapo ikiwa ni kuangalia/kupokea mizigo hasa ila ile inayo baki nyuma (haikuja na ndege husika
ikifika saa tatu usiku hawapokei tena simu, mara nyingine huizima kabisa; wakati shirika limejiandikisha kuwa wanafanya kazi 24hrs. Wangeweka Bango pale nje kuwa Swissport JRO mwisho wa kuhudumia watu ni saa mbili usiku hakuna mtu angewasumbua!
Kwa wasio jua Swisport, hili nishirika kubwa sana duniani la kutoa huduma mbalimbali kwenye viwanja vya ndege..mojawapo ikiwa ni kuangalia/kupokea mizigo hasa ila ile inayo baki nyuma (haikuja na ndege husika
ikifika saa tatu usiku hawapokei tena simu, mara nyingine huizima kabisa; wakati shirika limejiandikisha kuwa wanafanya kazi 24hrs. Wangeweka Bango pale nje kuwa Swissport JRO mwisho wa kuhudumia watu ni saa mbili usiku hakuna mtu angewasumbua!