Sylivia Francis Sigula - Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana

Sylivia Francis Sigula - Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

Mhe. Sylivia Francis Sigula - Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana

Mhe. Sylivia Francis Sigula, Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana tarehe 05 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishwa kwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na Waziri mwenye dhamana Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji

"Jana nilikwenda kusoma hukumu ya Mahakama ya Ushindani wa Kibiashara (FCT) katika #SakataLaTwigaCementTangaCement , nikajiuliza kwa nchi ambayo inafuata utawala wa sheria na kuheshimu sheria hivi chombo cha serikali kinapata wapi ujasiri wa kupingana na maamuzi ya mahakama?" - Mhe. Sylivia Francis Sigula, Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana

FvW6ikmWYAQJTr6.jpg
 
Kwanini kila mtu anayekanyaga bungeni huwa anaitwa Mheshimiwa? Mbona nyinyi wabongo mnapenda umungu mtu. Juzi juzi kuna clip ya Mwalimu Nyerere akiwa uwanjani niliona scout mtoto mdogo umri kama miaka 10 akimuita Mwalimu "karibu ndugu". Nyinyi wapiga makofi bungeni kila siku mnajiita waheshimiwa.

Ruto alipochaguliwa akampigia UN Secretary General akawa anamuita Your Excellency, Honourable na jamaa akakataa kuitwa huo upuuzi.
 
Misisiyemu haina akili ndiyo hiyo inataka kuitwa mheshimiwa, Mkapa alikataa kuitwa mtùkufu kwasababu alikuwa na akili
 
Back
Top Bottom