Nafikiri hapo aliposema "Identifying Islam with politics in each of our African Countries" Ndio penye uzito. Shutma kuhusu ugaidi ni kwamba unafadhiliwa kwa kupitia miasaada ya kifedha kutoka Islamic countries especially Saudi Arabia and Iran among others. Kwenye jamii yetu Tanzania tumekuwa na mikwaruzo ya hapa na pale kati ya islam and christianity mfano halisi ulikuwa ni ile hoja ya mahakama ya kadhi,issue ambayo imepelekea migawanyiko ambayo ni ideological lakini yenye kuingiliana na siasa za nchi moja kwa moja.....
Inawezekana kuna watafiti ambao wameona kuwa kuna kama pattern ama wave ya ideologies hizo kuwa spreaded kwenye nchi za Afrika na kupelekea machafuko na migawanyiko,hii ni kama kuna ushahidi wa wave kama hii kwenye nchi nyingine za kiafrika kwa wakati huu,hilo likiwa kweli kunaweza kuwa naimplication ya arrangement ama well planned and coordinated events. Alkaeda kwa kiasi kikubwa wameweza kuifanya vita ya jihad kuwa ni ya kisiasa,hilo ni wazi kwani kuna nchi nyingi tu ambazo ni za kiislam lakini zenye kudai kupingana na Alakaeda,hapo ni siasa tayari licha a kwamba Alkaeda wenyewe wanadai ni vita ya kidini na kusapotiwa na wengi,kama si wazi wazi bali hata kisiri kwa michangi nk. Bin Laden si mjinga kwani hata malengo halisi ni ya kisiasa licha ya kwamba ameyabebesha jina la jihad kuwa ni vita dhidi ya uislam,na ndiyo inayomfanya na yeye afanye mashambulizi ya kisiasa....
Kama Alkaeda ambao hata mashambulizi ya 911 walipata fedha kutoka misikiti ya Saudi,wanaweza wakawa wanaonekana mashujaa kwa wengi wa waislam na pia kuoenekana kama walifanikiwa kwa kiasi kikubwa dhidi ya wapinga uislam,hata ambao hawapingi uislam bali tu si waislam ama makafiri....Pesa hizo huletwa kama charity lakini zikipenyezwa kwenye mambo ya kiasiasa kwa kutumia mwavuli wa vita dhidi ya uislam ama jihad kwamba hatupewi haki,tunataka mahakama zetu nk,basi tatizo ni lazima litakuwepo. Extermism siyo jambo zuri,kama watu ambao walichangia 911 ndio hao hao wanaochangia misikiti ama institutions za kiislam za Afrika,then ni kivipi utaweza kutofautisha nia,ambapo hata maextremist wenyewe hawataki dini nyingine zaidi ya Islam na kwamba wengine wote ni infidels?Hapo ndipo penye ugumu ambapo mtu anaweza kuconclude kwamba nia ni ku eradicate christianity....
Badala ya fedha hizo kuwa radicalise watu,basi ni vyema zingetumika kuwaletea maendeleo. Waafrika ni muhimu sasa tujue kuwa hakuna manufaa yeyote kwa nchi zetu kutumika kama battle grounds za ideological warfares ambazo sasa its obvious zimekuwa political kutokana na kuwa injected kwenye political system kwa kuwaburuza watu bila kujielewa,wengi wao wakiamini kabisa kuwa ustawi wa dini yao uko hatarini.
Tatizo tulilonalo waafrika ni kwamba kwa level ya maendeleo bado tuko nyuma mithili ta time za kina Aristotle na kina Ptolemy,wakati ule ambapo kulikuwa na mapambano ya kikweli kati ya dini na sayansi,wakati dini ikiongoza maisha ya kila siku na hivyo kupelekea misuguano kwani sayansi ndio kwanza ilikuwa inachipukia,kina Kepler,Corpenicus na hata baadaye Darwin,mwanzo wa sayansi kuongoza ndio yalipoanzia,Corpenican Revolution amongst other revolutions ni mfano halisi,dini haikufa lakini sayansi na teknolojia vilitake over,sisi watanzania na waafrika kwa ujumla bado tunaongozwa na mambo ya kiimani zaidi ie religion na si science and technology,na ndio maana hata mkuu wa nchi anaweza kuja na kusema kukatika kwa umeme ni mambo ya Mungu na wananchi wakakubaliana naye.
Na kwahivyo ni kweli kabisa kuwa ni HATARI kwani uelewa wa wananchi kuhusu mambo haya ni mdogo kwani watu wanaongozwa na imani zaidi,kama si ya ukristo ni uislam na wengine uchawi ambapo wengine wana imani kabisa kuwa viungo vya albino ni dawa ya utajiri nk,mtu kama huyo hata akibadilika hakuna la maana kwa i either atakuwa muislam ama mkristo,hakuna fikra mbadala za kisayansi ili kuondokana na umasikini nk. Ili kuweza kuisadia Afrika ni lazima viongozi wake walitambue tatizo hili,mentality zao ni lazima zikubaliane na ukweli kuwa mechanism watakazozitumia si lazima ziwafurahishe wao wenyewe,sidhani kama Mh Rais aliposema kuwa ni mambo ya Mungu kukosa umeme alikuwa anamaanisha hivyo kiukweli,bali nadhani ameamua kula na kipofu,hajali,kama mambo ake yako safi na maisha ni mazuri basi mwingine atafix,almuradi yeye yuko madarakani na kwamba ni Rais.
Kama wanasiasa wetu wataendelea kuact kama wanavyofanya basi sitashangazwa sana machafuko yakitokea kwani ukosefu wa busara,uzalendo,mapenzi ya kweli na kuijuwa historia yetu waafrika vyema ni tatizo kubwa miongoni mwa viongozi wetu. Wengine wanaijuwa historia lakini hawajui namna ya kijifunza kutokana na historia.
Kwa kifupi viongozi wetu wangejikita kwenye kuwaletea wananchi maendeleo,kwani maendeleo huleta ustaarab na wastaarab hawawezi kuuana kwasababu tu ya utofauti wa dini.