SYRIA PAMEKUWA PAGUMU SANA

SYRIA PAMEKUWA PAGUMU SANA

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Huko Siria kumekuwa pagumu mno

Sasa ni kuuana tu wenyewe kwa wenyewe

Al Julan ameomba meza wayajenge na wafuasi wa Assad, maana wamekuja na nguvu mpya na kutoa changamoto ya uhakika. Wanajeshi wa kisuni wanaomtii Julan wanawasonga raia wa kishia kisha wanawaua. Baada serikali ya Siria kuanguka mikononi mwa Wasuni wa HTS, raia walifurahia mno wakiona wamepata ukombozi kutoka kwenye familia ya Assad iliyotawala Siria kwa miaka 53. Kibembe kilianza pale Julan na baraza lake walipotangaza Syria kuwa ni nchi ya Kislamu kwa imani ya kisuni. Hivyo makundi madogo kama Wakristo hasa Washia wakaanza kuona changamoto ya ubaguzi. Assad hakuwa mbaguzi wa kidini ingawa kwenye siasa hakutaka kuingiliwa. Sasa Assad anaweza kurudi maana raia wa Siria wameanza kuchoka utawala wa kisuni.

Washia ni wavumilivu na watulivu. Na katika eneo la vita, ni wapiganaji mno kuliko Wasuni, na sio wanafiki, wanamaanisha wakiamua jambo. Wasuni ni wepesi kuyumba na kutumika, maana akili zao zipo kiitikadi zaidi, na sio wasomi kama Washia. Na ndio maana ni wepesi kushawishika kujitoa muhanga jambo ambalo huwezi kulisikia kwa washia.

Syria inapaswa kutawaliwa kisekula kama Misri na sio kiitaki.
 
Huko Siria kumekuwa pagumu mno

Sasa ni kuuana tu wenyewe kwa wenyewe

Al Julan ameomba meza wayajenge na wafuasi wa Assad, maana wamekuja na nguvu mpya na kutoa changamoto ya uhakika. Wanajeshi wa kisuni wanaomtii Julan wanawasonga raia wa kishia kisha wanawaua. Baada serikali ya Siria kuanguka mikononi mwa Wasuni wa HTS, raia walifurahia mno wakiona wamepata ukombozi kutoka kwenye familia ya Assad iliyotawala Siria kwa miaka 53. Kibembe kilianza pale Julan na baraza lake walipotangaza Syria kuwa ni nchi ya Kislamu kwa imani ya kisuni. Hivyo makundi madogo kama Wakristo hasa Washia wakaanza kuona changamoto ya ubaguzi. Assad hakuwa mbaguzi wa kidini ingawa kwenye siasa hakutaka kuingiliwa. Sasa Assad anaweza kurudi maana raia wa Siria wameanza kuchoka utawala wa kisuni.

Washia ni wavumilivu na watulivu. Na katika eneo la vita, ni wapiganaji mno kuliko Wasuni, na sio wanafiki, wanamaanisha wakiamua jambo. Wasuni ni wepesi kuyumba na kutumika, maana akili zao zipo kiitikadi zaidi, na sio wasomi kama Washia. Na ndio maana ni wepesi kushawishika kujitoa muhanga jambo ambalo huwezi kulisikia kwa washia.

Syria inapaswa kutawaliwa kisekula kama Misri na sio kiitaki.
Makafiri wa magharibi wameingilia Syria
 
Wanaotaka maadiliko mara nyingi hujikuta na hali mbaya kuliko mwanzo-Machiavelli
 
Pale unapohisi unaondoka tatizo kumbe ndo unaongeza matatizo. Nchi nyingi ambazo viongozi wake waliondolewa kwa maandamano na bunduki Sasa hivi hazikaliki.
 
Kama hao waasi wanaleta shida watimuliwe madarakani waingizwe wengine tena
 
Back
Top Bottom