T c u please isiwe kama mwaka jana 2011/2012 years of studies

T c u please isiwe kama mwaka jana 2011/2012 years of studies

saadmad

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
573
Reaction score
295
Wana Jf Naomba mungu hawa jamaa wasifanye madudu kama walivyo fanya mwaka jana yaani students hayupo katika list ya wanaotakiwa ku reapply for second round na vilevile hayupo katika missing details list. Ikiwa na maana yupo katika selected applicants ila waja kukuta hayupo katika kundi lolote please T.c.u IT's mtakua responsible and answerable at reckonning:A S 465:
 
daah cjui kwa mwaka huu itakuaje kwa maana hali ni tete subiri 2one leo hii
 
daah cjui kwa mwaka huu itakuaje kwa maana hali ni tete subiri 2one leo hii

Yeah!! ni true bro maana hawatbiliki hawa jamaa coz wamewatupa rafiki zangu mwaka jana wakati hawakuwepo katika kundi la missing details wala kundi la ku reapply!!!! very sad:A S cry:
 
kwa mwendo huu yanaweza kujitokeza yaleyale....coz matatizo yameanza kujitokeza tangu mwanzo na yanaendelea kuonekana mpaka sasa
 
Back
Top Bottom