T.I ataja orodha ya marapa 50 bora

Mashabiki wa 2pac mniwie radhi
Tangu nmeanza kusikiliza nyimbo za 2pac mpaka sasa sioni maajabu yake aisee
Ni mtazamo wangu jamani [emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
The late great Eazy E na MC Ren wa NWA. Huwezi kuwataja Dr Dre na Ice Cube ukawaacha hawa wawili. Nate Dogg pia kama Drake naye ni rapper. Lord Jamar na Sadat X wa Brand Nubian. Hawa nao ni seriously underrated MCs in my opinion.
 
Na common katupwa nje? Hata pliers ni zaidi ya b boi na mwenzie...simuoni treach...yule jamaa wa onyx na wale jamaa waliimba ante it up na lost boys yote hasa mr chicks na freacky tah
 
Fat Joe unamwachaje kwenye top 50?[emoji848]
 
1 Biggie
2.Jay Z
3.Rakim
4.Nas
5.Method Man
6.Guru
7.LL cool J
8.laurin Hill
9.MC lyte
10.Rick Ross
 
Scarface...
The late great Eazy E na MC Ren wa NWA. Huwezi kuwataja Dr Dre na Ice Cube ukawaacha hawa wawili. Nate Dogg pia kama Drake naye ni rapper. Lord Jamar na Sadat X wa Brand Nubian. Hawa nao ni seriously underrated MCs in my opinion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…