Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Issue sio sampling tu Slick Rick ndio influencer on how to use imagery kwenye lyrics.Sampling, extrapolation, interpolation etc. ni kawaida kwenye muziki.
Kumbuka, Biggie alikuwa haandiki.
kwenye list simuoni Nikki mbishi.
list itakuwa imefanyiwa uchakachuaji
Clouds wamembania. |
Hata Adam Mchomvu sijamuona kwa list [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Clouds wamembania.
Dr. Dre best rapper? Kwa nyimbo zipi?Huwezi taja best rappers bila kum-mention dr. Dre!
Wakwake mwenyewe T.IMbona huu muandiko wa kibongo tena wa MTU aliesoma art combo ya HKL ambaye ni Aaron Arsenal
SureHuyo nipsey husle kabebwa kwa kiki za kifo chake wala hana maajabu
Upuuzi mtupu. Kuna mtu anaitwa Hopsin sijamuona hapo na nilitegemea mkongwe kama T.I lazima atakuwa ana appreciate/respect uwezo wa huyu mshikaji maana kuna vitu fulani anavyo ambavyo hata 2pac hakuwa navyo. Ila naona hapo huyu mkorofi amejaza wehu wenzie wazee wa kujaza matusi nyimbo nzima. Kwanza J. Cole hakutakiwa kutoka ndani ya 5 bora.
Duhhhh aiseee... hebu mpe heshima tupac . Piga picha enzi hizo ana rapp vile ingekuwa n leo .... Acha kbsaaMashabiki wa 2pac mniwie radhi
Tangu nmeanza kusikiliza nyimbo za 2pac mpaka sasa sioni maajabu yake aisee
Ni mtazamo wangu jamani [emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Nimeshangaaa sana.. Eminem n zaid ya Jay zNilivyoona Drake na Kanye wapo juu ya Eminem ndipo nilipojua kuwa hii ni RACISM..!
No Eminem.. no pac...?1 Biggie
2.Jay Z
3.Rakim
4.Nas
5.Method Man
6.Guru
7.LL cool J
8.laurin Hill
9.MC lyte
10.Rick Ross
Tuwekee video basi ya hiz mamboKeep practicing
Mi hua napenda moves zao wanavyocheza na toes pamoja na spinning
Na
Kumbe sio mimi tu nnae liona hilo, huyu jamaa lifestory/style yake pamoja na kiki ya kifo chake imemboost mara 100
Huyu dogo anajiita cl0factoryTuwekee video basi ya hiz mambo
Haifunguk mkuu... kama una link ya YouTube just share mkuuHuyu dogo anajiita cl0factoryView attachment 1242735
Tumia browserHaifunguk mkuu... kama una link ya YouTube just share mkuu