T.I.D Kumburuza Steve Nyerere mahakamani

T.I.D Kumburuza Steve Nyerere mahakamani

Tatizo watanzania wengi hawajui kutenganisha SIASA NA SANAA. KISA WEMA KAHAMIA UKAWA KWA ISHU YA KUWEKWA NDANI BAASI WANATAKA WASANII WOTE WALIOWEKWA NDANI WAMTUKANE MAKONDA NA KUHAMIA UKAWA.

Zitatungwa story nyingi kweli ili kuonesha makonda ni mkosaji aiseee
10809540_267354180055551_1574502767_n.jpg
 
Vibaraka km hawa ni wa kunyongwa kabisa hakuna namna
 
Aache kumburuza Makonda alomtaja hadharini mbele ya makamera kibao mburuze steve ambae kasikia tuu sauti yake je kama ni mwingine tu kaigiza ile sauti, hebu mpeleke kwanza Makonda au kwa vile ni Teja kweli halioni ata athari ya kutajwa hadharani
 
Sasa ka yeye T.I.D alikutwa na kosa la kutumia madawa ya kulevya akasaidiwa na serekali ili kuwaelimish vijina wengine....kwanin Manji mwnye kosa ka la T.i.d asisaidiwe nae akawaelimishe matajir wenzake...??
 
tid2.jpg


Msanii wa bongo fleva Khalid Mohamed 'T.I.D' ameahidi kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaosambaza taarifa kuwa amepewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika sekeseke la kutaja majina ya wanaohusika na dawa za kulevya.

Akizungumzia ishu hiyo, TID amesema, yeye alikuwa ni muathirika wa dawa za kulevya na serikali ilimkamata kwa kosa la kutumia lakini ikaamua kumsaidia kwa kumfanya aachane na dawa hizo pamoja na kumpa nafasi ya kuelimisha vijana wenzake ambao bado wapo katika janga hilo.

TID ameonesha kushangazwa na kuumizwa na taarifa zinazoenea kuwa amepewa pesa ili ataje watu au ajitangaze, jambo ambalo amesema ni wivu wa baadhi ya watu wasiomtakia mema, na wanaotaka kumuona akiendela kutaabika kwenye matumizi ya dawa hizo.

"Watu wana ushahidi gani kama mimi Mh. Makonda kanipa mimi pesa au wanazungumza tu? mimi nataka huyo sijui Steve nani nani.....aseme kwamba aliniona nikipatiwa hizo pesa bila hivyo mimi nitamshtaki, unaituhumu serikali, bila ushahidi, hili ni kosa ambalo naweza nikampeleka mtu mahakamani" Amesema TID

Alipoulizwa kama sasa atakwenda mahakani, TID alijibu

"Ndiyo nitakwenda Mahakamani..."


Msanii anayedaiwa kutoa kauli hiyo ya TID kupewa pesa ni Steve Nyerere, kupitia sauti za simu zilizosambazwa tangu juzi, zikionesha mtu anayedhaniwa kuwa ni Steve Nyerere akiongea na mtu anayedhaniwa kuwa ni Mama wa Msanii Wema Sepetu.

Pia aliwajibu wanaodai kuwa amewageka "Unasema mimi nimekusnitch wakati wote tulikuwa ndani, nilipokuwa chini mbona ulikuwa unafurahi saivi nimetoka unasema nakusnitch?". Amehoji TID

Pamoja na hayo TID ameongeza kuwa yeye kutajwa katika orodha ya watu wanaojihusisha na dawa za kulevya na kufikishwa kituo cha polisi kumemuongezea mashabiki zaidi na kumfanya awe maarufu zaidi kutokana na simu za pole kutoka kwa mashabiki na wanahabari kuwa nyingi, pia kuandikwa na kuzungumzwa kwenye vyombo vyote vya habari.

Source: Eatv
Huyu si ndiye alikua kila interview anaulizwa kuhusu Kula unga anagoma na kutoa Matusi hadi dada Ray c alisema hadharani kuwa jamaa anatua mia Lkn alimtukana Sana et Leo anakir adhalani
 
DAA TANGU AONDOKE KANUMBA THE GREAT

HAWA WASANII WALIOBAKIA SANAA KAMA IMESHAWASHINDA KILICHOBAKIA KATIKA SANAA NI WASANII KUTAFUTA KICK KUPITIA MATUKIO.

SIO STEVE NYERERE, WEMA NA TID WOTE LAO MOJA
Uko nje ya mada dada
 
Mwacheni na maamuzi yake, mbona ka steve kalitumika sana na kalipa vijisenti na sasa aachwe abebe msalaba wake
 
Siku aliyokuwa akiongea alipoonza kusema yeye sasa hivi ni mnyama nilizima na sikuendelea kuangalia tena niliona kama sifa fulani na hakuna uhalisia ya yale aliyokua akijitapa nashukuru nimejibiwa.
 
Watu wa karibu na mzee Kigogo kaeni nae kwa karibu itakua anavurugika heeee heeeee.
 
T.I.D njaa imekuponza na ndiyo maana sasa unaishi kwa Kujipendekeza huku ukitumika kama Condom vile. Kwa nimjuavyo Steve Nyerere wala hajaongopa na kanyoosha vizuri mno maneno / maelezo yake. Halafu unajiita Mnyama wakati Mimi nakuona Bata tu!
Mwisho wa post yako nimeishia kucheka....unamuona Bata na siyo mnyama....[emoji1]
 
Hizi kukulu kakala mbona sizielewi!?!!? Hii nguvu ya kujadili hawa pimbi inatoka wapi!!??
 
Back
Top Bottom