INAUZWA T shirt Kali za Mtumba

INAUZWA T shirt Kali za Mtumba

Mkuu unatuchanganya wateja, umeandika nini sasa? Hayo mambo sijui ya Ford, Segmentation, Demographic na blah blah ya nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imebdi awavurugeew tu maana mnamzingua
 
Nashukuru kwa waliotoa ushauri naufanyia kazi to improve the business..ah upande wa price objection napenda kusema kwamba we are not in mass production era kama jamaa wa magari ya ford..gari aina moja kwa wateja wote na bei ni moja no now ni era ya socioeconomic/product...Segmentation niliofanya inawezekana usiwe wemo ie unaweza segment kwa demographic, social status etc...yawezekana hujaona value and can't complain labda hujaona value over price..
Mkuu haya mauzungu ,umeua.
 
Nashukuru kwa waliotoa ushauri naufanyia kazi to improve the business..ah upande wa price objection napenda kusema kwamba we are not in mass production era kama jamaa wa magari ya ford..gari aina moja kwa wateja wote na bei ni moja no now ni era ya socioeconomic/product...Segmentation niliofanya inawezekana usiwe wemo ie unaweza segment kwa demographic, social status etc...yawezekana hujaona value and can't complain labda hujaona value over price..
bruh tishet zako kwa kiasi ziko vizuri
ila kwa huu ung'eng'e ulio andika hapa mimi binafsi umenivuruga aiseee
 
20211116_070910.jpg
 
Back
Top Bottom