[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imebdi awavurugeew tu maana mnamzinguaMkuu unatuchanganya wateja, umeandika nini sasa? Hayo mambo sijui ya Ford, Segmentation, Demographic na blah blah ya nini?
Mkuu haya mauzungu ,umeua.Nashukuru kwa waliotoa ushauri naufanyia kazi to improve the business..ah upande wa price objection napenda kusema kwamba we are not in mass production era kama jamaa wa magari ya ford..gari aina moja kwa wateja wote na bei ni moja no now ni era ya socioeconomic/product...Segmentation niliofanya inawezekana usiwe wemo ie unaweza segment kwa demographic, social status etc...yawezekana hujaona value and can't complain labda hujaona value over price..
bruh tishet zako kwa kiasi ziko vizuriNashukuru kwa waliotoa ushauri naufanyia kazi to improve the business..ah upande wa price objection napenda kusema kwamba we are not in mass production era kama jamaa wa magari ya ford..gari aina moja kwa wateja wote na bei ni moja no now ni era ya socioeconomic/product...Segmentation niliofanya inawezekana usiwe wemo ie unaweza segment kwa demographic, social status etc...yawezekana hujaona value and can't complain labda hujaona value over price..
Hawa ndio wanaenda kununua kwa Brother D halafu wanataka kupata faida zaidi.Pungunza mkuu, utawapata wengi sio kwa gep hilo, wengi watakimbilia kwa Brother D
Yap hizo picha ni za brother D anauza 5,000 huku jamaa anapiga 20,000Hawa ndio wanaenda kununua kwa Brother D halafu wanataka kupata faida zaidi.
bruh tishet zako kwa kiasi ziko vizuri
ila kwa huu ung'eng'e ulio andika hapa mimi binafsi umenivuruga aiseee
Hapa Shinyanga napata 4 za grade hiyohiyoMtumba 20K? Wakati napat t-shirt tatu hapo hata nikiwa Dom au Arusha,sembuse Dar!