T734DPR Daladala inayofanya safari za Makumbusho-Gongo La Mboto likamatwe kwa uchafu uliokithiri. Kunguni na chawa wamo

T734DPR Daladala inayofanya safari za Makumbusho-Gongo La Mboto likamatwe kwa uchafu uliokithiri. Kunguni na chawa wamo

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
IMG_20201129_080415_1.jpg
IMG_20201129_080411_6.jpg
 
Polee.

Teremka upande basi jengine.
Usafiri wa Gongo la Mboto mgumu sana naona watu wengi wanaenda Matembele ya Pili kwa Nabii Suguye
 
hii vita ikihamishiwa SUMATRA,jamaa anaacha gari garage yao.
 
Halafu mabasi ya njia hiyo madereva wake wanaendesha mwendokasi sana kuliko maelezo!

Wanamashindano ya ajabu humo barabarani!
 
Back
Top Bottom