Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ! Jioni hii baada ya kupiga presha (ndan ya Bonet kupunguza Vumbi) ,gari yangu imeanza matatizo haya :-
---Taa ya Chek Engine inawaka bila kuzima
---Taa ya O/D (overDrive) inajiwasha na kujizima bila hata kugusa button yake ya kuwasha
---Gari imekosa nguvu kabisa na inachelewa kubadili Gia
Naomba msaada wenu wadau nini yaweza kuwa shida kwenye gari au ni kifaa kipi kitakuwa kimekufa .
Ingekuwa hivyo ingechemsha na geji ya maji ingesoma. Hilo ni tatizo tofauti, ama oil iko chini ya kiwango au shida iko kwenye umeme.Itakuwa na shida ya regeta au gasket cylinder
Habari ! Jioni hii baada ya kupiga presha (ndan ya Bonet kupunguza Vumbi) ,gari yangu imeanza matatizo haya :-
---Taa ya Chek Engine inawaka bila kuzima
---Taa ya O/D (overDrive) inajiwasha na kujizima bila hata kugusa button yake ya kuwasha
---Gari imekosa nguvu kabisa na inachelewa kubadili Gia
Naomba msaada wenu wadau nini yaweza kuwa shida kwenye gari au ni kifaa kipi kitakuwa kimekufa .
Vizuri sana••••••UPDATES •••••
Asanteni ,nime-solve tatizo kuna waya mmoja ulilegea tu ,now iko fine .