⚠️Taa ya check engine inawaka na gari inakosa nguvu , msaada !

••••••UPDATES •••••
Asanteni ,nime-solve tatizo kuna waya mmoja ulilegea tu ,now iko fine .
Kuna wakati hii shida ya taa ya check engine kuwaka muda wote ilinikumba na by then nilikuwa nimetumia gari kama miezi 5 hivi.. nikashauriwa nipeleke kwa Fundi wirering, Ila kwa kuwa ratiba yangu ilikuwa ngumu sikuhiyo sikuweza kuangalia kile alikuwa afanya., Jioni akanirudishia gari safi kabisa taa haiwaki..
siku ya service nikaamua pia ku replace na fuse zilizoungua na gapes, check engine inarudi tena.. ndio nikagundua kumbe Yule fala hakutengeneza chochote zaidi ya kunilamba 40, 000/= kwa kuchomoa fuse taa isiwake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]pole.....
Magari huwa hayana shida kqma tunavyofikieria...shida ipo kwa mafundi...
Fundi anaweza kukufanya ukalichukia gari lako
 


Unakuwaje na gari ya kisasa halafu unapeleka garage uchwara?
 
mkuu hii inatokea kwene gari yangu nayo.... imeanza juzi, ni corona! samahani, ukifanikiwa kutatua tatizo lako na tatizo hili linaweza kuwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…