KERO Taa za Barabarani eneo la Kona ya Nairobi zitengenezwe, ni hatarishi kwa usalama

KERO Taa za Barabarani eneo la Kona ya Nairobi zitengenezwe, ni hatarishi kwa usalama

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Nimekuwa nikipita mara kwa mara hili eneo la Kona ya Nairobi hapa mitaa ya Arusha ninachokutana nacho ni kuwa taa hizi hazifanyi kazi, sijui kama kuna muda huwa zinawaka au ni mimi tu nashindwa kuwa na bahati nazo kukuta zinawaka.

Lakini kwa ufupi tu ni kuwa ujumbe wangu Mamlaka zinazohusika zirekebishe kwa kuwa nimeona watu wanapita hapo kwa kuviziana, jambo ambalo ni hatarishi kiusalama.

1728796670792.jpeg

Pia soma: Arusha; Taa za kuongoza magari zina zaidi ya mwezi mmoja hazifanyia kazi
 
Hata za friends corner nazo hazifanyi kazi.

Mamlaka husika waziboreshe,wanakwama wapi!
 
Back
Top Bottom