ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
TanRoads Rukwa hebu kueni na consistency kwenye specifications zenu.
Inakuaje Taa Mpya mlizofunga Sumbawanga Mjini na Kijiji Cha Chala na Kaengesa huko hazitoki Mwanga wa kutosha muda wa usiku?
Ieleweke hizo taa sio mapambo bali ni kusaidia usalama na Biashara muda wa usiku, Sasa zinaposhindwa kutimiza wajibu huo inakuwa haina maana na pesa za walipa kodi zimelipwa.
Iweje taa mlizofunga mwaka juzi zinawaka vizuri ila mlizofunga mwaka huu haziwaki vizuri na zina mwanga hafifu ambao unaweka kivuli usiku badala ya kuangaza?
My Take
Kajifunzeni TanRoads Katavi wao taa zao zinawaka Mji mzima na Vijijini kote walikozifunga, nyie wa Rukwa Vitaa vichache halafu haviwaki.
Mamlaka husika wakalitazame hili.
Inakuaje Taa Mpya mlizofunga Sumbawanga Mjini na Kijiji Cha Chala na Kaengesa huko hazitoki Mwanga wa kutosha muda wa usiku?
Ieleweke hizo taa sio mapambo bali ni kusaidia usalama na Biashara muda wa usiku, Sasa zinaposhindwa kutimiza wajibu huo inakuwa haina maana na pesa za walipa kodi zimelipwa.
Iweje taa mlizofunga mwaka juzi zinawaka vizuri ila mlizofunga mwaka huu haziwaki vizuri na zina mwanga hafifu ambao unaweka kivuli usiku badala ya kuangaza?
My Take
Kajifunzeni TanRoads Katavi wao taa zao zinawaka Mji mzima na Vijijini kote walikozifunga, nyie wa Rukwa Vitaa vichache halafu haviwaki.
Mamlaka husika wakalitazame hili.