Taa za sola za barabarani ni ovyo kabisa

Taa za sola za barabarani ni ovyo kabisa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika miaka hii ya karibuni kumekuwa na nia nzuri ya kuipamba miji na kuongeza usalama nyakati za usiku kwa kuweka taa za barabarani. kwa kukosekana umeme wa kawaida wa uhakika taa zilichochanguliwa ni hizi zinazotumia nguvuj za jua.

Pamoja na nia hizo nzuri taa hizi zimekuwa ni bomu kabisa.Makampuni yaliyopewa tenda yamebeba pesa nyingi sana kuyaweka katika miji mingi nchini.Tatizo hata mwaka haufiki asilimia 90 ya taa hizo huwa hazifanyi kazi.

Amber-solar-streetlight-Project9.jpg
 
Katika miaka hii ya karibuni kumekuwa na nia nzuri ya kuipamba miji na kuongeza usalama nyakati za usiku kwa kuweka taa za barabarani. kwa kukosekana umeme wa kawaida wa uhakika taa zilichochanguliwa ni hizi zinazotumia nguvuj za jua.

Pamoja na nia hizo nzuri taa hizi zimekuwa ni bomu kabisa.Makampuni yaliyopewa tenda yamebeba pesa nyingi sana kuyaweka katika miji mingi nchini.Tatizo hata mwaka haufiki asilimia 90 ya taa hizo huwa hazifanyi kazi.

Amber-solar-streetlight-Project9.jpg
Toa ushauri nini kifanyike ambacho ni bora zaidi
 
Toa ushauri nini kifanyike ambacho ni bora zaidi
Wakati umeme wa nguvu ya maji hautoshi, gesi haijaleta neema na sola ni hasara tupu.Nashauri mabaraza ya miji yawatake wote wenye nyumba zinazoelekezana na barabara kuu wawe na taa moja kubwa ya kuwashwa usiku. imulike barabaarani. Wenye nyumba hizi wasamehewe sehemu fulani ya kodi zinazolipishwa na serikali kwa ajili ya taa hizo.Serikali haitopata hasara kwa kufanya hivyo kuliko hasara ya kuwalipa wakarandasi wa kuweka taa za sola halafu zinazimika.
 
Wakati umeme wa nguvu ya maji hautoshi, gesi haijaleta neema na sola ni hasara tupu.Nashauri mabaraza ya miji yawatake wote wenye nyumba zinazoelekezana na barabara kuu wawe na taa moja kubwa ya kuwashwa usiku. imulike barabaarani. Wenye nyumba hizi wasamehewe sehemu fulani ya kodi zinazolipishwa na serikali kwa ajili ya taa hizo.Serikali haitopata hasara kwa kufanya hivyo kuliko hasara ya kuwalipa wakarandasi wa kuweka taa za sola halafu zinazimika.
Elimu yako tafadhali!
Umeishia darasa la ngapi tujue?
 
Nadhani wanafunga solar zisizo na viwango vya juu.
 
Wakati umeme wa nguvu ya maji hautoshi, gesi haijaleta neema na sola ni hasara tupu.Nashauri mabaraza ya miji yawatake wote wenye nyumba zinazoelekezana na barabara kuu wawe na taa moja kubwa ya kuwashwa usiku. imulike barabaarani. Wenye nyumba hizi wasamehewe sehemu fulani ya kodi zinazolipishwa na serikali kwa ajili ya taa hizo.Serikali haitopata hasara kwa kufanya hivyo kuliko hasara ya kuwalipa wakarandasi wa kuweka taa za sola halafu zinazimika.
Duuuh

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Shida wanaweka za quality mbovu ila kwenye quotations wanaweza za high quality...kama barabara ya mwanza pasiasi-airport zile taa alieweka Mungu anamuona [emoji1787]
 
Wakati umeme wa nguvu ya maji hautoshi, gesi haijaleta neema na sola ni hasara tupu.Nashauri mabaraza ya miji yawatake wote wenye nyumba zinazoelekezana na barabara kuu wawe na taa moja kubwa ya kuwashwa usiku. imulike barabaarani. Wenye nyumba hizi wasamehewe sehemu fulani ya kodi zinazolipishwa na serikali kwa ajili ya taa hizo.Serikali haitopata hasara kwa kufanya hivyo kuliko hasara ya kuwalipa wakarandasi wa kuweka taa za sola halafu zinazimika.
Na kwa maeneo yasiyokuwa na majumba uelekeo wa barabara?
 
Eneo la Igawa naona zimefungwa taa za solar naona miaka inaenda kila nikipita zipo tu zinameremeta. Nadhani mkandarasi hakufanya ubadhirifu hapa ziko poa
 
Toa ushauri nini kifanyike ambacho ni bora zaidi
Tatizo lipo Hivi, Tanroads na Tarura wameweka specifications nzuri sana na hizo taa zinaweza kukaa hadi miaka Tano, ila hapa katikati ikaingia Wataalamu wasio waaminifu (Wasimamizi na wakandarasi), wakashirikiana na watengeneza taa za ubora hafifu! Sana sana Chinese!! Taa inatengenezwa na kubandikwa sticker (label ya ubora) lakini just lable na sio taa yenye ubora huo!! Ila kwa gharama ya ubora WA juu, Hapo ndio tunakopigwa hadi tunalia poo!!
Nini kifanyike:
1: Taa ziagizwe kwenye viwanda vinavyo jali ubora ( certified)
2: Kuwe na kitengo Maalumu Cha kukagua ubora na Sio kuangaliwa Kwa macho taa zilizobandikwa lable fake
3:Wataalamu wanahusika kuidhinisha hizi taa wanatakiwa wachunguzwe uaminifu wao Kwa Taifa
4:Muda WA matazamio WA taa hizi (Defects Liability Period) uwe miaka mitano ambayo ni Life span ya taa hizi na Mkandarasi awe anazihudumia!! Hii itawezesha wazabuni kununua vitu kulingana na specifications na Sio zilizobandikwa lable
 
Wakati umeme wa nguvu ya maji hautoshi, gesi haijaleta neema na sola ni hasara tupu.Nashauri mabaraza ya miji yawatake wote wenye nyumba zinazoelekezana na barabara kuu wawe na taa moja kubwa ya kuwashwa usiku. imulike barabaarani. Wenye nyumba hizi wasamehewe sehemu fulani ya kodi zinazolipishwa na serikali kwa ajili ya taa hizo.Serikali haitopata hasara kwa kufanya hivyo kuliko hasara ya kuwalipa wakarandasi wa kuweka taa za sola halafu zinazimika.
20181013_162421.png
 
Week iliyopita Nilipata Lushoto mjini wakiwa wanaweka, baada ya siku 6 napita tena baadhi haziwaki.
Nauga hoja, wahusika wapewe adhabu ya kifo.
 
Huu mpango uhusike na maeneo ya mji na barabara kuu tu kama hizi zinazowekwa taa za sola sasa.Mbali na mji hakuna ulazima. Hiyo ya mbali na mji hata kusikokuwa na majumba nimeona Ulaya tu.
Inawezekana ukawa sahihi kwa mujibu wa fikra/uelewa wako.
 
Back
Top Bottom