Taa zenye mwanga mweupe VS mwanga wa yellow

Taa zenye mwanga mweupe VS mwanga wa yellow

Aiseee Leo nimepata jibu banaa!!! Mwaka Jana kuna jamaa alikuwa ananifata Kwa nyuma kutoka shinyanga Hadi misungwi jino Kwa jino kila nikipunguza mwendo na yeye anapunga mwendo...hapa ndiyo napata jibu kuwa Yule Fala alinigeuza PAZIA la kuzuia mwanga!!! Barabarani kuna vituko Sana maana hii comment yako nimecheka sanaaaaa mwenyewe kumbe Ile style ya jamaa ilikuwa ni zuga.
Tulikuwa tunajiuliza mbona huyu jamaa anafata nyuma yetu hata kama nitapunguza speed Hadi 40
Mkuu usiku usipotumia technique hasa kama njia ni mgeni hufiki mbali, kuna faida ya kumtanguliza mtu mdau maana hata akipiga shimo au speed bump unamwona anavyorushwa kwahiyo unajiandaa kisaikolojia na akikwepa kitu au akipunguza mwendo kama kuna shimo unaona taa za break na mambo mengine kama ya mwanga pia
 
Kabisa. Watu wananunua hizi bulb za bei nafuu halafu wanalalamika. Hivi huwa wanaona bulb za VX, Prado, toyota land cruiser, Discovery, Harrier new model, Mercedes benz, BMW, VW ikipigwa low beem unaona hadi ramani ya Africa.

Sasa jiulize akipiga full itakuwaje. Na zile taa huwa zinakuja na lenzi yake. So ikiwashwa inalenga on point inapomulika so hakuna umande utaiblock hiyo beam.

Vijana wazito sana kujifunza. Changamoto kidogo tayari wanatoa conclusions badala ya kutuliza kichwa kudadisi shida imeanzia wapi.

Ndo maana wengi magari ya kiume yanawashinda wanapenda brand nyepesi kutumia kama Toyota maana hawataki kunoa akili zao na kuyajua magari.

Kuna ndugu yangu ni dereva alikaa na mzungu kwenye gari yake namna alikuwa naifuatilia alikuwa anaijua kuliko yule mzungu sasa ukikuta anamuelekeza utacheka maana uona mbongo anamfunza mzungu kuhusu gari na hatuna hata kiwanda cha magari [emoji23][emoji23][emoji23]
Unatusaidiaje sasa (ushauri) watu tusiokuwa na "magari ya kiume" ili angalau visibility iwe nzuri, usiniambie uza alafu nunua gari la kiume (nitakulaani) ila kwa hiki Kitoyota nifanyaje ku-improve mwanga. Je kuna bulb zinaweza kuongeza ubora wa mwanga au mpaka kufanya mapekeche kwenye gari ndipo unaweza kuongeza ubora wa mwanga mfano kuweka busta etc.
 
Wenye pikipiki fungeni hizi mtakuja kutoa ushuhuda hapa zina njano na white na full inapiga njano na white kwa pamoja ziko njema sana kwenye mvua unaserereka tu unaona mpka sindano ilioanguka
IMG_20230417_182906.jpg
 
Mkuu usiku usipotumia technique hasa kama njia ni mgeni hufiki mbali, kuna faida ya kumtanguliza mtu mdau maana hata akipiga shimo au speed bump unamwona anavyorushwa kwahiyo unajiandaa kisaikolojia na akikwepa kitu au akipunguza mwendo kama kuna shimo unaona taa za break na mambo mengine kama ya mwanga pia
Haha assume umemtangulisha V8 alafu ww una toyota wish au ka raum hapo sasa lazima utaomba poooo endapo kama mi masafa
 
Haha assume umemtangulisha V8 alafu ww una toyota wish au ka raum hapo sasa lazima utaomba poooo endapo kama mi masafa
Kuna magari si ya kwenda nayo, stability zinatofautoana sana,unamwacha aende
 
Haha assume umemtangulisha V8 alafu ww una toyota wish au ka raum hapo sasa lazima utaomba poooo endapo kama mi masafa
Hayo nilishayatanguliza, hata ukijitahidi kilometre 2 nyingi ameshakuacha unamwona yuleee maana gari zetu hizi za wanyonge ikifika speed 100 ukizidi kukanyaga unaanza kuona uskani unacheza cheza (ni kukubali matokeo tu unamwacha aende zake, atatokea tu wa level yako)
 
Wadau wa magari, naomba remarks Zenu kuhusu ili, Ninafsi naona taa zinazotoa mwanga mweupe zikikutana na taa za mwanga wa yellow maona nyeipe zinafunikwa ....

Mafundi waliopo Ilala yote, Karume n maeneo hayo wakikushauri kitu, fanya kinyume chake, ni wezi, matapeli, wanaowaza faida yao tu na hela zao hata kama utakufa.
 
Back
Top Bottom