Mkuu, kesho usikimbie mji.Tunatamba kila kona kwa kua tunajiamini na kikosi chetu.. Na kesho lazima MFE.
Kajiandaa kisaikolojia huyo. Lawama kwa Refa kesho.Na Safari hii Msemaji Hovyo wenu Manara kashasoma mchezo kaamua ajipe ugonjwa ili mkifungwa msimpigie kelele.
Yan mpaka ww kuandika haya jua tu simba ushind lazma hata kwakumpima refa mkojo lazma yanga mkae tuMimi nimetoa tahadhari tu mkuu maana kuna watu humu wanayo matokeo yao tayari vichwani, sasa ikiwa kinyume sipati picha.
Mbona hata huyo shemeji ako aliyekununulia cm nae ni Simba ko nae ni mbumbumbuMashabaki wa simba ni mbumbumbu
Mkuu mda huu natoka Taifa Stadium kumalizia 'kazi' iliyobakia.. Tukutane Taifa Stadium badae.Mkuu, kesho usikimbie mji.
Umefika wakati wa kumu expose kocha wenu mbovu anayebebwa na hela ya usajili.
Kwa usajili wenu, Yanga inaingia kama underdog. Itakuwa highly motivated kutafuna hela za Mo.
by Rage.Mashabaki wa simba ni mbumbumbu
Unasema wewe sio Yanga kwahiyo kwa uandishi huu wewe ni Simba Sc?Mkuu yan naona Simba sc inatumia nguvu nyingi mno kufukua makaburi....Mimi sio fan wa Yanga ila Simba inaonekana anaogooa game ndo maana anafukua makaburi
Tunatamba kila kona kwa kua tunajiamini na kikosi chetu.. Na kesho lazima MFE.
Kazi kwishaSisi mashabiki wa Simba tunasema kesho tutaua!!!
Mkuu, kesho usikimbie mji.
Umefika wakati wa kumu expose kocha wenu mbovu anayebebwa na hela ya usajili.
Kwa usajili wenu, Yanga inaingia kama underdog. Itakuwa highly motivated kutafuna hela za Mo.