TAALUMA YA UDOM HAINA UKOMBOZI
Wadau wa JF,
Napenda naomba kutoa mawazo haya wazo ingawa najua wazi kuwa yatawauma walio wengi hususani kwa wale wenye watoto katika chuo hicho au wengine wanaosomea hapo moja kwa moja.
Tokea chuo hicho kianzishwe mnamo wa mwaka 2007 na mazao yake kuanza kupatikana mwaka 2010 hakuna mwanafunzi mmoja aliyeweza kusimama na kujinadi katika chaguzi mbalimbali hususani za 2010 na hata katika chaguzi ndogondogo zinazotarajiwa kufanyika feb 2 2014 hakuna hata jina moja ambalo liko tarajali kuingia katika kinyanganyiro hicho.
Kwa kuwa matumaini makubwa ya watanzania ni kuona wasomi wanakuwa chachu ya mabadiliko na ujenzi wa jamii mpya kiuchumi, kitamaduni hata kisiasa je wanafunzi hawa wanaomaliza katika chuo hicho hawana uwezo kiasi cha kutoweza kusimama mbele za watu?
Elimu inayotolewa hapo haina viwango vya kumuandaa mwanachuo kiasi cha kushindana na soko la sasa la ajira ambalo kwa sasa linakimbilia kwenye siasa?
inakuwaje vyuo vyenye wanafunzi wachache vinakuwa na ushawishi sana mtaani kisiasa na kijamii ukilinganisha na chuo hiki kinachochukua maelfu ya wanafunzi kwa mwaka hivi uongozi wa hapo haujashtuka kuwa huenda elimu inayotolewa hapo haiendani na matakwa ya maisha ya KITANZANIA ya sasa?
NAWASILISHA
Source: utafiti binafsi na wanafunzi wanaosoma UDOM
Wadau wa JF,
Napenda naomba kutoa mawazo haya wazo ingawa najua wazi kuwa yatawauma walio wengi hususani kwa wale wenye watoto katika chuo hicho au wengine wanaosomea hapo moja kwa moja.
Tokea chuo hicho kianzishwe mnamo wa mwaka 2007 na mazao yake kuanza kupatikana mwaka 2010 hakuna mwanafunzi mmoja aliyeweza kusimama na kujinadi katika chaguzi mbalimbali hususani za 2010 na hata katika chaguzi ndogondogo zinazotarajiwa kufanyika feb 2 2014 hakuna hata jina moja ambalo liko tarajali kuingia katika kinyanganyiro hicho.
Kwa kuwa matumaini makubwa ya watanzania ni kuona wasomi wanakuwa chachu ya mabadiliko na ujenzi wa jamii mpya kiuchumi, kitamaduni hata kisiasa je wanafunzi hawa wanaomaliza katika chuo hicho hawana uwezo kiasi cha kutoweza kusimama mbele za watu?
Elimu inayotolewa hapo haina viwango vya kumuandaa mwanachuo kiasi cha kushindana na soko la sasa la ajira ambalo kwa sasa linakimbilia kwenye siasa?
inakuwaje vyuo vyenye wanafunzi wachache vinakuwa na ushawishi sana mtaani kisiasa na kijamii ukilinganisha na chuo hiki kinachochukua maelfu ya wanafunzi kwa mwaka hivi uongozi wa hapo haujashtuka kuwa huenda elimu inayotolewa hapo haiendani na matakwa ya maisha ya KITANZANIA ya sasa?
NAWASILISHA
Source: utafiti binafsi na wanafunzi wanaosoma UDOM