Taaluma za kuheshimika na muhimu ni hizi sita (6) tu

Taaluma za kuheshimika na muhimu ni hizi sita (6) tu

Yaani maendeleo ya jamii alingane na daktari?
Yes wanalingana maana wote wanatoa huduma kwa jamii na shughuli zao ni muhimu kujenga nchi yetu, hata mfagizi na mtumza mazingira naye ni WA muhimu ka alivo daktari, mwalimu, so we live by depending each other hakuna aliye Bora kuliko mwingine.
 
Mathematics vipi?
Taaluma mpya ya IT mnaionaje haifai kuingia hilo kundi.
Siku hizi heshima ni kuwa na pesa ndefu na umaarufu, unakuwa hata kongizi bila kusomea.
 
Kila mtu na maoni yake .....binafsi kichwa cha mada naona kimegusia ile namba moja tu ya Ualimu maana ndiyo taaluma kongwe kuliko zote duniani na ina umuhimu wa kipee, zilizo salia naona kama una nia zako binafsi
 
Si zaidi ya hapo; ni kama ifuatavyo:-

1. Mwalimu

Waelimishaji waliohitimu kwa viwango stahiki wanahitajika sana, na ikiwa utahitaji kujenga jamii imara walimu ni kundi muhimu na la lazima.

Ili vijana waweze kubadilisha ulimwengu na taifa, basi hii ndiyo taaluma ya muhimu na ya lazima popote pale duniani.

Taaluma hii ni kongwe na ya kuheshimika tangu dahari...kwenye dini zote walimu wanatajwa sana kwa sababu mchango wao uko dhahiri kwenye elimu ya kiroho na dunia.

2. Wanasheria

Wataalamu wa sheria husaidia kuhifadhi na kuzingatia utawala wa sheria. Hii ni taaluma adhimu na ya kuvutia, lakini yenye majukumu machache na muhimu mnoo.

Hawa huamua taabu ya jamii na raha ya jamii.

Fikiria unakabiliwa na kesi nzito na mwanasheria ndiye mtu pekee unaemtegemea kukubeba, utanielewa nasema nini.

3. Maafisa wa Polisi na Wanajeshi

Jukumu la usalama wa raia ni wito wa heshima. Maafisa wa polisi na jeshi daima wanapaswa kuwa tayari na kutarajia yasiyotarajiwa. Wanapaswa kuwa tayari kiakili, kihisia na kimwili kuwatumikia na kuwalinda wananchi dhidi ya wahalifu waovu, mara nyingi wakiweka maisha yao kwenye mstari mdogo sana unaotenganisha salama na hatari.

Kazi wanayofanya inahusisha ujuzi mkubwa. Iwe wanashika doria mitaani au wanafanya kazi ofisini, kazi wanayofanya ni muhimu sana kwa jamii. Wanalinda uhuru na kuzingatia sheria, wanahakikisha haki na kulinda maisha huku wakiweka amani na kuweka usalama wako mbele/ mfikirie mjeda aliepo DRC kulinda usalama wa ukanda huu wote, mfikirie polisi aliepo lindo.

4. Wahandisi

Katika msingi wake, uhandisi ni sayansi katika huduma ya ubunifu. Wataalamu hawa ni watu wenye tija na wa vitendo ambao hutatua shida muhimu kwa jamii.

Mhandisi hawezi kufukia makosa yake ndani ya mchanga wao ni wajenzi huru wa dunia hii....bila wao mambo mengi halisi unayoyaona ya kimiundombinu yasingekuwepo

Kuna nyanja nyingi sana ambazo wahandisi wanaweza kung'aa na kubadilisha ulimwengu, kama vile kudhibiti na kuzuia uchafuzi wa mazingira, kutengeneza dawa mpya, kuchunguza na kuunda teknolojia za hali ya juu. Ni taaluma ya kusisimua.

Hii ndiyo taaluma iliyomtambulisha binadamu ktk mfano wa Muumba wake...fikiria hao wahandisi waliohenga MAPIRAMIDI ya mafirauni huko Masri. Hawa jamaa ni watu wa kuheshimika mno.

Ulishajiuliza jinsi ghorofa refu sana linavyoelea huko angani!? Fikiria daraja la baharini la kilometres 30 au barabara ya chini ya bahari.

Fikiria elopleni inayobeba watu 500 na kuruka nao salama salmini hadi upande wa pili wa mbali sana wa dunia kwa muda mfupi sana.

Hii ndiyo taaluma ya kustaajabisha sana ilomtofautisha binadamu na wanyama.

Narudi kumalizia chaji imeisha nipo julianna hapa nakunywa soda
taaluma za bongo nazo ni taaluma?
 
Sitegemei kukutana na Mwalimu humu anajisifia taaluma yake. Ni ujinga
 
Si zaidi ya hapo; ni kama ifuatavyo:-

1. Mwalimu

Waelimishaji waliohitimu kwa viwango stahiki wanahitajika sana, na ikiwa utahitaji kujenga jamii imara walimu ni kundi muhimu na la lazima.

Ili vijana waweze kubadilisha ulimwengu na taifa, basi hii ndiyo taaluma ya muhimu na ya lazima popote pale duniani.

Taaluma hii ni kongwe na ya kuheshimika tangu dahari...kwenye dini zote walimu wanatajwa sana kwa sababu mchango wao uko dhahiri kwenye elimu ya kiroho na dunia.

2. Wanasheria

Wataalamu wa sheria husaidia kuhifadhi na kuzingatia utawala wa sheria. Hii ni taaluma adhimu na ya kuvutia, lakini yenye majukumu machache na muhimu mnoo.

Hawa huamua taabu ya jamii na raha ya jamii.

Fikiria unakabiliwa na kesi nzito na mwanasheria ndiye mtu pekee unaemtegemea kukubeba, utanielewa nasema nini.

3. Maafisa wa Polisi na Wanajeshi

Jukumu la usalama wa raia ni wito wa heshima. Maafisa wa polisi na jeshi daima wanapaswa kuwa tayari na kutarajia yasiyotarajiwa. Wanapaswa kuwa tayari kiakili, kihisia na kimwili kuwatumikia na kuwalinda wananchi dhidi ya wahalifu waovu, mara nyingi wakiweka maisha yao kwenye mstari mdogo sana unaotenganisha salama na hatari.

Kazi wanayofanya inahusisha ujuzi mkubwa. Iwe wanashika doria mitaani au wanafanya kazi ofisini, kazi wanayofanya ni muhimu sana kwa jamii. Wanalinda uhuru na kuzingatia sheria, wanahakikisha haki na kulinda maisha huku wakiweka amani na kuweka usalama wako mbele/ mfikirie mjeda aliepo DRC kulinda usalama wa ukanda huu wote, mfikirie polisi aliepo lindo.

4. Wahandisi

Katika msingi wake, uhandisi ni sayansi katika huduma ya ubunifu. Wataalamu hawa ni watu wenye tija na wa vitendo ambao hutatua shida muhimu kwa jamii.

Mhandisi hawezi kufukia makosa yake ndani ya mchanga wao ni wajenzi huru wa dunia hii....bila wao mambo mengi halisi unayoyaona ya kimiundombinu yasingekuwepo

Kuna nyanja nyingi sana ambazo wahandisi wanaweza kung'aa na kubadilisha ulimwengu, kama vile kudhibiti na kuzuia uchafuzi wa mazingira, kutengeneza dawa mpya, kuchunguza na kuunda teknolojia za hali ya juu. Ni taaluma ya kusisimua.

Hii ndiyo taaluma iliyomtambulisha binadamu ktk mfano wa Muumba wake...fikiria hao wahandisi waliohenga MAPIRAMIDI ya mafirauni huko Masri. Hawa jamaa ni watu wa kuheshimika mno.

Ulishajiuliza jinsi ghorofa refu sana linavyoelea huko angani!? Fikiria daraja la baharini la kilometres 30 au barabara ya chini ya bahari.

Fikiria elopleni inayobeba watu 500 na kuruka nao salama salmini hadi upande wa pili wa mbali sana wa dunia kwa muda mfupi sana.

Hii ndiyo taaluma ya kustaajabisha sana ilomtofautisha binadamu na wanyama.

Narudi kumalizia chaji imeisha nipo julianna hapa nakunywa soda
Toa policcm weka jeshi wale wanao vaa nguo za mabakamabaka
 
Ila cha ajabu walimu ndo wanadharaulika sn Tanzania
 
Aliyekuondoa govi na kuutoa mkono wa sweta haeshimiki au we ndo humuheshimu
 
Mkuu umesahau cheo muhimu Sana kinapatikana sokoni.

"Wachinja Kuku"
 
Wote hao Wakishamaliza shughuli zao waambie Sindano za Daktari zinawangoja [emoji3] na nafaka za mkulima hazitawaacha salama! Vinginevyo walale njaa!
 
Nakazia

Kila Mmoja Ni Muhimu Mkata Mkaa Ana Umuhimu Wake, Fundi Baiskeli Huwezi Kujua Umuhimu Wake Isipokuwa Wenye Baiskeli


Kwaujumla Umuhimu Wa Wote Hao Popote Walipo Ndiyo Tunapata Maendeleo Ya Taifa Lote
Acha uongo... bila wahandisi asingepata hiyo baiskeli wala panga la kukatia mkaa.
 
Back
Top Bottom