dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
TAARIFA!
Nikiwa kama mhanga wa ambao hawajaona majina yao, napenda kusema kwamba, leo nilikwenda Wizarani
na nikaambiwa wahusika hawapo hadi jumatatu, lakini nilifanikiwa kuongea na Naibu Waziri wa elimu ndugu Mlugo na akasema
kwamba yeye hakuwa na taarifa ya kwamba kuna majina hayajatoka ama hayaonekani.
Hivyo akahaidi kufuatilia pia kuonana na wahusika, akaongeza kuwa inawezekana ni errors kwenye computer, akadai kuwa bado walimu 1000 wataajiriwa kwa sababu kuna mahitaji makubwa ya walimu hivyo wote watachukuliwa.
Matatizo hayo hayapo kwa wana UDOM pekee bali vyuo vingine pia, na pia ukitembelea tovuti ya wizara majina ya watu wa shahada hayafunguki kwenye link waliyoiweka.
MWISHO WA TAARIFA.
SOURCE UDOM COLLEGE MATE, 2011.
Nikiwa kama mhanga wa ambao hawajaona majina yao, napenda kusema kwamba, leo nilikwenda Wizarani
na nikaambiwa wahusika hawapo hadi jumatatu, lakini nilifanikiwa kuongea na Naibu Waziri wa elimu ndugu Mlugo na akasema
kwamba yeye hakuwa na taarifa ya kwamba kuna majina hayajatoka ama hayaonekani.
Hivyo akahaidi kufuatilia pia kuonana na wahusika, akaongeza kuwa inawezekana ni errors kwenye computer, akadai kuwa bado walimu 1000 wataajiriwa kwa sababu kuna mahitaji makubwa ya walimu hivyo wote watachukuliwa.
Matatizo hayo hayapo kwa wana UDOM pekee bali vyuo vingine pia, na pia ukitembelea tovuti ya wizara majina ya watu wa shahada hayafunguki kwenye link waliyoiweka.
MWISHO WA TAARIFA.
SOURCE UDOM COLLEGE MATE, 2011.