Taarifa binafsi huweza kuleta madhara zikiwa mtandaoni pasipo kulindwa

Taarifa binafsi huweza kuleta madhara zikiwa mtandaoni pasipo kulindwa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Taarifa binafsi kama Jina lako, Namba ya Simu, Anwani na zile za malipo ya kifedha huweza kuleta madhara zikiwa mtandaoni pasipo kulindwa, kwani ni rahisi kudukuliwa

Kuwa makini unapofungua tovuti au 'Links' ambazo kwenye "https" hakuna 'S' yaani inasomeka "http" pekee. Weka nywila (Password) imara kwenye kifaa chako cha kielektroniki

79860075-B1AA-4278-9F69-D8D7F351558C.jpeg


453BD6D8-B5A1-4E40-A582-8B2CA2537E20.jpeg


D13028EF-F6F6-4BC0-97AE-9E8857F1D0AB.jpeg
 
Back
Top Bottom