Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tafadhali tazama picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo photoshop Dogo ni mjanja sana. Anatafuta mibaraka kwa LAZIMA kwa kuitembelea taifa takatifu teule la Israel. Nawahakikishia Dogo atabarikiwa zaidi na zaidi.Photoshop.
Nyambafu wewee. Chunga ilo domo lakoStory za kutunga hizi za warumi, Yosefu na Mariam walikuwa insignificant kabisa enzi zao, hamna anayewajua hata wanafananaje
Shekhe huu muda si ungetumia hata kusoma juzuu moja upate thwawab kuliko kukereka na yasiyokuhusuStory za kutunga hizi za warumi, Yosefu na Mariam walikuwa insignificant kabisa enzi zao, hamna anayewajua hata wanafananaje
Mimi siyo hata Shehe ndugu, ila inasikitisha kuona ulimwengu mzima unapelekeshwa na story za kutungwa na WarumiShekhe huu muda si ungetumia hata kusoma juzuu moja upate thwawab kuliko kukereka na yasiyokuhusu
Huyo, na micheni yake!!!! Sjjui inasaidia nini?!!
Efeso ipo Uturuki lakini...Siyo photoshop Dogo ni mjanja sana. Anatafuta mibaraka kwa LAZIMA kwa kuitembelea taifa takatifu teule la Israel. Nawahakikishia Dogo atabarikiwa zaidi na zaidi.
Na distance zote izo anazijuaHana jipya, hapo hata Ndugai amekaa sana mpaka anawatoto huko.
Alikua akisema katika mji huo alifika na akakutana na mke wa yesu labda Dogo janja ampigie amuelekezejaman evi ndugai alikuwa anamaanisha nn ujue sijamuelewa mpaka leo[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shekhe huu muda si ungetumia hata kusoma juzuu moja upate thwawab kuliko kukereka na yasiyokuhusu