Taarifa: Dogo Janja Atembelea Mji wa Efeso Mahali alikoishi Yosefu na Mariamu

Taarifa: Dogo Janja Atembelea Mji wa Efeso Mahali alikoishi Yosefu na Mariamu

Dogo umefika maeneo matakatifu ya ukristo lakini unazubaa kushika ukuta wa mamlaka ambao ukigusa tu upako unakutanda na kuogopwa matamshi utakayosema, trump, bush nk viongozi kibao wa dunia wamegusa kuta hiyo achangamke dogo sio mnajishoo tu
 
Siyo photoshop Dogo ni mjanja sana. Anatafuta mibaraka kwa LAZIMA kwa kuitembelea taifa takatifu teule la Israel. Nawahakikishia Dogo atabarikiwa zaidi na zaidi.
Mawazo ya kitumwa haya,kwahiyo wanaoishi huko wote wamebarikiwa? Huko Israel wamejaa washoga ndio kubarikiwa kwenyewe huko? huko Israel Christians ni 2% tu,toka kwenye usingizi mzito uliolala.
 
Mawazo ya kitumwa haya,kwahiyo wanaoishi huko wote wamebarikiwa? Huko Israel wamejaa washoga ndio kubarikiwa kwenyewe huko? huko Israel Christians ni 2% tu,toka kwenye usingizi mzito uliolala.
Mkuu tulifundishwa hivyo toka udogoni there's nothing will change our mindsets. Our hends are tied. Ni kama6nyinyi tu mlivyofundishw kuwaabudu waarabu to chekechea yenu madrassa
 
Back
Top Bottom