Taarifa fupi ya utekaji

Taarifa fupi ya utekaji

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
.

Ilikua ni asubuhi Jacob Mlay (pichani) alitoa nguo zake nje ili azifue ghafla akapokea sms kutoka kwa Deusdedith Soka, Soka akamwambia Mlay Kaka salama naomba unisindikize Polisi Chang'ombe, Polisi wamenipigia simu niende nikachukue Bodaboda yangu.

Mlay: akajibu sawa ngoja nirudishe nguo zangu ndani maana ndio nilikua nataka nianze kufua, pia naacha simu yangu hii chaji nipigie kwa Tigo yangu.

Soka: Sawa ngoja nimpigie na Dereva wangu Frank Mbise

Tangu siku hiyo Jacob Mlay, Frank Mbise na Deusdedith Soka hawajawahi kupatikana, Jacob Mlay ameacha mtoto mdogo na Mbise ameacha mtoto mdogo.

Credit: Mwaipaya FB

1741233964527.jpg
 
Back
Top Bottom