witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
HAPA NIPO HESLB tumeshindwa kukubaliana nao maana wanadai watu wa appeal tena SWALI vyuo vimefunguliwa hiyo REGISTRATION hapo chuon utatoa wap pesa?na baada ya ku-appeal ndani ya siku 90 ndio majibu yatatoka je hapo chuon utakuwa na hali gan?kwa ufup wamekaa kkao il tupew jib la msing taarifa zaid n hapo baadae ila this week watatoa kwenye website yao il watu wa-appeal