Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wananchi wengi walikuwa hawaambiwi ukweli na uhalisia wa miradi iliyotekelezwa awamu ya tano. Kiasi cha Wananchi kuwa taarifa zisizo sahihi juu ya miradi hiyo huku wengi wakidhania ilikuwa imekamilika kwa 100%.
Mfano ni kweli vituo vya afya 460+ na Hospitali za Wilaya zaidi ya 65 zilijengwa. Lakini kiuhalisia nyingi hazijakamilika. Nyingi zilikuwa hazina watumishi na vifaa tiba hata kama zilikamilika majengo.
Ujenzi wa Sgr Dar to Moro huu ndio umekuwa na upotoshaji mkubwa, maana toka 2019 mpaka leo habari ni hizo hizo tu kuwa umekalilika 95% lakini kiuhalisia bado sana maana huenda hata mwaka huu utaweza kukatika bila kuanza.
Kingine ni juu ya bajeti ya dawa, tuliambiwa kuwa awamu ya tano iliamua kutenga bil 400+ kwq ajili ya manunuzi ya dawa ili wananchi waweze kupata dawa wanapoenda kutibiwa. Lakini wananchi wakienda kutibiwa hata dawa hawapati na wengi huwa wanalipia.
Hivyo ili kutoleta mikanganyiko serikali iwe inatoa takwimu sahihi inapotekeleza miradi ya maendeleo
Mfano ni kweli vituo vya afya 460+ na Hospitali za Wilaya zaidi ya 65 zilijengwa. Lakini kiuhalisia nyingi hazijakamilika. Nyingi zilikuwa hazina watumishi na vifaa tiba hata kama zilikamilika majengo.
Ujenzi wa Sgr Dar to Moro huu ndio umekuwa na upotoshaji mkubwa, maana toka 2019 mpaka leo habari ni hizo hizo tu kuwa umekalilika 95% lakini kiuhalisia bado sana maana huenda hata mwaka huu utaweza kukatika bila kuanza.
Kingine ni juu ya bajeti ya dawa, tuliambiwa kuwa awamu ya tano iliamua kutenga bil 400+ kwq ajili ya manunuzi ya dawa ili wananchi waweze kupata dawa wanapoenda kutibiwa. Lakini wananchi wakienda kutibiwa hata dawa hawapati na wengi huwa wanalipia.
Hivyo ili kutoleta mikanganyiko serikali iwe inatoa takwimu sahihi inapotekeleza miradi ya maendeleo