Taarifa kamili kuhusu kuwasili kwa klabu zetu za Simba na Yanga katika Michuano ya Kimataifa na ile ya Kienyeji

Taarifa kamili kuhusu kuwasili kwa klabu zetu za Simba na Yanga katika Michuano ya Kimataifa na ile ya Kienyeji

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Simba SC
Hadi hivi sasa Kikosi cha Mabingwa Watetezi wa VPL Simba SC kimefika salama nchini Erthiopia ambapo leo ( usiku ) huu kitalala katika Hotel ya Sheraton hadi Kesho tayari kwa safari ya kwenda Abuja nchini Nigeria kwa Ndege ya Kukodi ya Kifahari ambayo hata Klabu za FC Barcelona na Liverpool FC nao huitumia kwa ajili ya Mechi yake na Plateau United Siku ya Ijumaa.

Yanga SC
Kikosi cha Yanga SC kilichoanza safari yake ya kwenda nchini Chamazi kimewasili salama kabisa Mbagala Charambe na leo usiku huu kitalala kwa Diwani wa Kata ya Charambe ili kujiweka sawa na Kipigo cha Shalubela na Mbwa Mwizi itakachokipata Kesho. Hata hivyo Kocha wao Kaze na Wachezaji wao Mukoko, Tuisila na Carlinho wamelalamikia Mbu wengi na Kulala kwa Mafungu.
 
Yanga ni timu ya wananchi. Kuna wananchi wa chadema wameshikishwa Tshs. 500m @ kupewa ubunge haramu wa viti maalumu huko Dodoma. Watawarushia yanga bakuli ili walau wapate MO ukwaju juisi kupunguza makali ya mbu wa mbagala.
 
Kabla ya Christmas kila mtu atakuwa kwenye nafasi yake. 1.Simba 2.Azam 3.Yanga.

Hawa Yanga walipoona Simba imepoteza kwa Prisons na Ruvu Shooting wakaona tayari wameshabeba ubingwa. Shenzy zao kabisa!
 
Uto wazee wa ligi ya kienyeji...timu mbovu wamebaki kuionea wivu Mnyama kwa kucheza ligi ya mabingwa...

Simba taifa kubwa.....manyani nyie pambaneni na kiluvya fc ndo saiz yenu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Na
Simba SC
Hadi hivi sasa Kikosi cha Mabingwa Watetezi wa VPL Simba SC kimefika salama nchini Erthiopia ambapo leo ( usiku ) huu kitalala katika Hotel ya Sheraton hadi Kesho tayari kwa safari ya kwenda Abuja nchini Nigeria kwa Ndege ya Kukodi ya Kifahari ambayo hata Klabu za FC Barcelona na Liverpool FC nao huitumia kwa ajili ya Mechi yake na Plateau United Siku ya Ijumaa.

Yanga SC
Kikosi cha Yanga SC kilichoanza safari yake ya kwenda nchini Chamazi kimewasili salama kabisa Mbagala Charambe na leo usiku huu kitalala kwa Diwani wa Kata ya Charambe ili kujiweka sawa na Kipigo cha Shalubela na Mbwa Mwizi itakachokipata Kesho. Hata hivyo Kocha wao Kaze na Wachezaji wao Mukoko, Tuisila na Carlinho wamelalamikia Mbu wengi na Kulala kwa Mafungu.
 
Simba SC
Hadi hivi sasa Kikosi cha Mabingwa Watetezi wa VPL Simba SC kimefika salama nchini Erthiopia ambapo leo ( usiku ) huu kitalala katika Hotel ya Sheraton hadi Kesho tayari kwa safari ya kwenda Abuja nchini Nigeria kwa Ndege ya Kukodi ya Kifahari ambayo hata Klabu za FC Barcelona na Liverpool FC nao huitumia kwa ajili ya Mechi yake na Plateau United Siku ya Ijumaa.

Yanga SC
Kikosi cha Yanga SC kilichoanza safari yake ya kwenda nchini Chamazi kimewasili salama kabisa Mbagala Charambe na leo usiku huu kitalala kwa Diwani wa Kata ya Charambe ili kujiweka sawa na Kipigo cha Shalubela na Mbwa Mwizi itakachokipata Kesho. Hata hivyo Kocha wao Kaze na Wachezaji wao Mukoko, Tuisila na Carlinho wamelalamikia Mbu wengi na Kulala kwa Mafungu.
Hahahaaaaaa
 
Nipe matokeo ya leo Yanga na Azam, mm nakuamini sana unapoleta mkeka wa matokeo kutoka kwa babu yako wa Pemba na Mombasa
 
Nipe matokeo ya leo Yanga na Azam, mm nakuamini sana unapoleta mkeka wa matokeo kutoka kwa babu yako wa Pemba na Mombasa
Siwarogei Yanga au Azam bali nairogea sana na mno Simba SC yangu. Matokeo ya leo utayapata tu baada ya Mtangange hapo Saa 2 na dakika 55.
 
Umeanza Ngenga Simba wameenda na Ndege za Safari za Kawaida KQ kisha baadae Ethiopia Airline sio ya Kukodi kama ulivyo tudanganya hapo hawana pesa ya kukodi Ndege, Kila la heri mwende mlibagaze Taifa letu maana miliishazoea hamsa kwa mayai ya Bundi!
 
Back
Top Bottom