Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Ila hata huyu Pauline ana mental disorder huenda ana Bipolar , hata kama huenda mfumo umeshamkataa lakini nae ana uvivu wa kufikiri ! Sasa unawezaje kutoroka na hili zogo kwanza kila mtu anamfuatilia yeye , Pili ana jimbo bado kuna chama chake pia !!
Haya angefanikiwa kutoroka huko anakoenda angasema ni mkimbizi wa kisiasa au 😂😂
Huyu hajajua aseee huu msala anaukuza vibaya mno ! Ile baada ya kipigwa chini angetulia akasikiliza anachoambiwa na mahakama na wakuu wake wa kazi huko hii nchi tushaona mara kibao watu wanazingua hadi kutia aibu ila wanayamaliza wenyewe !
Sasa eti linatoroka tena
basi umejisahau kwamba uliwahi kuwa mbunge na Waziri ukaamua utoroke kama mfanyabiashara ndo unahamisha na vyombo 😂 Manina huyu wakimpiga mvua walahi wampige na za kuwa mjinga mjinga .
Haya angefanikiwa kutoroka huko anakoenda angasema ni mkimbizi wa kisiasa au 😂😂
Huyu hajajua aseee huu msala anaukuza vibaya mno ! Ile baada ya kipigwa chini angetulia akasikiliza anachoambiwa na mahakama na wakuu wake wa kazi huko hii nchi tushaona mara kibao watu wanazingua hadi kutia aibu ila wanayamaliza wenyewe !
Sasa eti linatoroka tena
basi umejisahau kwamba uliwahi kuwa mbunge na Waziri ukaamua utoroke kama mfanyabiashara ndo unahamisha na vyombo 😂 Manina huyu wakimpiga mvua walahi wampige na za kuwa mjinga mjinga .