benson jovinary
New Member
- Feb 7, 2013
- 3
- 0
pumbavu!!!:A S angry:....Hayawi hayawi sasa yamekuwa,kilio kimesikika,wanafunzi wote wa vyuo vikuu boom laki nane na ada wote kulipiwa na serikali kuanzia march, Rais na wa waziri wa elimu kusimamia zoezi zima,
ni kule nchini Uingereza. Sie Tz? Dah! ulisha anza kutabasamu!
hahahaha we jamaa wewe..muonee huruma njuka huyu..Junior MemberArray
naona ulikua unajifunza kukomenti!!!!! haya ushaweza umefurahi sasa??Join Date : 7th February 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
serikali za kiafrika zinatumia pesa nyingi sana kwa ajili ya watu wao na hii ndio inafanya serikali zetu/nchi zetu kuwa masikiniHayawi hayawi sasa yamekuwa,kilio kimesikika,wanafunzi wote wa vyuo vikuu boom laki nane na ada wote kulipiwa na serikali kuanzia march, Rais na wa waziri wa elimu kusimamia zoezi zima,
ni kule nchini Uingereza. Sie Tz? Dah! ulisha anza kutabasamu!
hapa atakuwa amekuelewa vzuri sana! Ila naomba umuongeze tusi mpumbavu huyu!mijitu kama hii huwa inafikiria kupitia sehemu za siri badala kutumia ubongo,kwanza limeonesha wazi lilikimbia shule,tangu lini Uingereza ikawa na Rais,watu wengine tunaipa sana heshima jamii forum kama sehemu ya kupata habari mpya na za ukweli lakini mijitu mingine iliyokosa kazi inaishi kwa utegemezi kula na kulala bure isiyo na uwezo wa kufikiria inaleta habari za kijingajinga humu inafikiri facebook humu,we limaa mwenye uzi huu uwe makini kuna siku tunakuvyonza hiyo mimacho yako
[h=5]Hayawi hayawi sasa yamekuwa,kilio kimesikika,wanafunzi wote wa vyuo vikuu boom laki nane na ada wote kulipiwa na serikali kuanzia march, Rais na wa waziri wa elimu kusimamia zoezi zima,
ni kule nchini Uingereza. Sie Tz? Dah! ulisha anza kutabasamu![/h]