Taarifa kutoka TCU

Taarifa kutoka TCU

Jamani Jordan morogoro washapokea majina toka TCU Leo na wametuma SMS pamoja na email kwa walochaguliwa.sijaambiwa na mtu nimeshuhudia
 
Mbona ni kutukanana na kadharauliana jmn.
hiyo haisolve matatzo ndg zangu. better kurekebishana na kuelekezana.
 
kwa mfano tukamwuliza hizo taarifa amezitoa wapi atajibu nini? Kwani hapa ni jukwaa la umbea?
 
TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES(TCU) URGES ALL STUDENTS THAT APPLIED FOR THE UNDERGRADUATE DEGREES FOR ACADEMIC YEAR 2014/15 TO TAKE THEIR RESULTS SLIP AND LEAVING CERTIFICATES FROM THEIR RESPECTIVE SCHOOLS AS THEY WILL BE REQUIRED FOR THEIR APPROVAL IN THEIR ADMITTED UNIVERSITIES SOON AFTER THE RESULTS ARE ANNOUNCED TOMMOROW(16th SEPTEMBER).

ORIENTATION COURSE FOR THE UNDERGRADUATES WILL BEGIN ON THE WEEK COMMENCING FROM MONDAY 22nd SEPTEMBER ONWARDS

source:TCU headquarters
Kingereza chenyewe shida!
 
TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES(TCU) URGES ALL STUDENTS THAT APPLIED FOR THE UNDERGRADUATE DEGREES FOR ACADEMIC YEAR 2014/15 TO TAKE THEIR RESULTS SLIP AND LEAVING CERTIFICATES FROM THEIR RESPECTIVE SCHOOLS AS THEY WILL BE REQUIRED FOR THEIR APPROVAL IN THEIR ADMITTED UNIVERSITIES SOON AFTER THE RESULTS ARE ANNOUNCED TOMMOROW(16th SEPTEMBER).

ORIENTATION COURSE FOR THE UNDERGRADUATES WILL BEGIN ON THE WEEK COMMENCING FROM MONDAY 22nd SEPTEMBER ONWARDS

source:TCU headquarters

naomba niulize vipi kwa wale ambao wameshachaguliwa
i mean before kufungwa link ya cas- i and my friends were able to see that tumechaguliwa
nilichofanya ni type namba ya mtihan(o level ) mwaka (2011)
then jina langu na la mzazi..
so if i saw was true
can i worry about a thing?
i need help...
 
Back
Top Bottom