Uchaguzi 2020 Taarifa kwa Makatibu CCM Taifa, mchakato wa kumchagua Mgombea Udiwani Kata ya Mtera ulikuwa na rushwa za wazi

Uchaguzi 2020 Taarifa kwa Makatibu CCM Taifa, mchakato wa kumchagua Mgombea Udiwani Kata ya Mtera ulikuwa na rushwa za wazi

kadendu

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2014
Posts
645
Reaction score
496
Nianze kukipongeza chama changu CCM kwa mchakato wa uchaguzi wa ndani, pili nichukue nafasi hii kufikisha kilio changu kwenu viongozi wangu wa juu namna mchakato wa kumchagua mgombea udiwani kata ya mtera ulivyokuwa na rushwa za wazi lakini pia ulikuwa ni mkakati wa mbunge aliyepita simbachawene kumuweka MTU wake.

Kisa kikubwa ni pale Diwani aliyepita kumuomba mh Rais magufuri majengo yaliyoachwa na wachina kiwe kituo cha afya mtera,wakati msimamo wa simbachawe ulikuwa kuweka chuo cha VETA kwa upande wetu sisi wananchi kata yote tulitaka kituo cha afya na hapo ndipo Simbachawene alimtakia wazi diwani amoni kodi kwa gharama yeyote hata rudi kuwa diwani wa katahiyo kwamba kwanini amemsimamisha mh rais na kumpa taarifa hizo.

Ilikuwa mwaka Jana mwanzoni au mwakajuzi mwishoni sasa kilchotokea mwaka huu kalazimisha kumpachika mgombea wake bwana maulya kwa rushwa na ilikuwa hivi,chama kilitoa basi ndogo kwa ajili ya kukusanya wajumbe vitongojini na kuwaleta sehemu utakapofanyika uchaguzi badala yake gari la simbachawene ndilo lililokuwa linabeba wajumbe na kila mjumbe alipoingia ndani ya gari alipewa tsh 120000 lakimoja na ishirini na kuambiwa ukipokea hiyo pesa asipopita maulya unazirudisha viongozi wangu naomba mfanye uchunguzi jibu mtalipata mchana kweupe ni hayo machache niwatakie kazi njema, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Ninaomba kutoa ushauri wa bure kwa Mh Pole pole na Mh Dr Bashiru.

Kwa wale wote wa waliopata nafasi ya kwanza Hadi ya nne kwenye kura za maoni wafanyiwe vetting na LMCI kwanza ili waweze kuanza kujadiliwa na vikao vya juu kwa ajili kuteuliwa kugombea kupitia CCM.Ninasema hayo kwa sababu njia zilizotumika kupata Kura nyingi haziendani na kauli ya Mh Rais ya kupiga Vita rushwa.

Pili, unakuta Jimbo moja Lina wajumbe 100 walio piga Kura mgombea anapata kura 56 anaongoza, Ila ukumbuke kuwa Jimbo Hilo Lina wapiga kura 20,000 mwezi October. Sasa utakuwa kukuta wale wajumbe waliomchagua 56 ni asilimia 1 ya wapiga kura wote na pengine hakubaliki.
 
Kwa ujumla wakichunguza mchakato wa uchaguzi wa ndani jimbo la kibakwe kuanzia uchaguzi wa mbunge watakuta uchafu wa kiwango cha juu ilifikia mahari taasisi nyeti inayoshughurikia rushwa ndiyo walikuwa wanatumika kuzigawa kwa wajumbe nilitamani mwenyekiti ccm taifa alijue hili.
 
Wana CCM vipi tena! Mbona mnaanza kushikana uchawi wakati mnasemaga rushwa hakuna wakati wa awamu ya 5? Mlipoambiwa kuwa haiwezekani kua na CCM bila rushwa mlibisha na matusi juu sasa mnatuhumiana hadharani wenywe kwa wenyewe! Tuwaelewe vipi?
 
Nianze kukipongeza chama changu CCM kwa mchakato wa uchaguzi wa ndani, pili nichukue nafasi hii kufikisha kilio changu kwenu viongozi wangu wa juu namna mchakato wa kumchagua mgombea udiwani kata ya mtera ulivyokuwa na rushwa za wazi lakini pia ulikuwa ni mkakati wa mbunge aliyepita simbachawene kumuweka MTU wake.

Kisa kikubwa ni pale Diwani aliyepita kumuomba mh Rais magufuri majengo yaliyoachwa na wachina kiwe kituo cha afya mtera,wakati msimamo wa simbachawe ulikuwa kuweka chuo cha VETA kwa upande wetu sisi wananchi kata yote tulitaka kituo cha afya na hapo ndipo Simbachawene alimtakia wazi diwani amoni kodi kwa gharama yeyote hata rudi kuwa diwani wa katahiyo kwamba kwanini amemsimamisha mh rais na kumpa taarifa hizo.

Ilikuwa mwaka Jana mwanzoni au mwakajuzi mwishoni sasa kilchotokea mwaka huu kalazimisha kumpachika mgombea wake bwana maulya kwa rushwa na ilikuwa hivi,chama kilitoa basi ndogo kwa ajili ya kukusanya wajumbe vitongojini na kuwaleta sehemu utakapofanyika uchaguzi badala yake gari la simbachawene ndilo lililokuwa linabeba wajumbe na kila mjumbe alipoingia ndani ya gari alipewa tsh 120000 lakimoja na ishirini na kuambiwa ukipokea hiyo pesa asipopita maulya unazirudisha viongozi wangu naomba mfanye uchunguzi jibu mtalipata mchana kweupe ni hayo machache niwatakie kazi njema, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Unanikumbusha Jimbo LA Segerea na Kata ya Minazi Mirefu Kiwalani Dar es salaam....ila kwa kuwa CCM imeahidi kuwafyekelea mbali watoa Rushwa tunasubiri kukipima chama cha Mapinduzi kwa ahadi hii kwani kuna watu wazuri wameshindwa kupata kura za kutosha kwa ajili ya kutokutoa rushwa...
 
Wana CCM vipi tena! Mbona mnaanza kushikana uchawi wakati mnasemaga rushwa hakuna wakati wa awamu ya 5? Mlipoambiwa kuwa haiwezekani kua na CCM bila rushwa mlibisha na matusi juu sasa mnatuhumiana hadharani wenywe kwa wenyewe! Tuwaelewe vipi?
Ndiyo maana Jemedari Magufuli ameweka utaratibu ya kuwa inawezekana wajumbe was kura za maoni wanaweza rubuniwa kwa Rushes hivyo basis Majina yote yapelekwe kwenye kamati ya uteuzi ikatende haki..... na Tadhimini zingine ikiwemo uadilifu wa mgombea mbele ya jamii husika.......Na hii ni safi sanaaaaaa inawapa nafasi wagombea wazuri lakini hawezi kutoa Rushwa eitha kwa uadilifu wao au kutokuwa na pesa.
 
Wana CCM vipi tena! Mbona mnaanza kushikana uchawi wakati mnasemaga rushwa hakuna wakati wa awamu ya 5? Mlipoambiwa kuwa haiwezekani kua na CCM bila rushwa mlibisha na matusi juu sasa mnatuhumiana hadharani wenywe kwa wenyewe! Tuwaelewe vipi?
Swala la rushwa ni jambo la mtu binafsi,hakuna mtu aliyetumwa kutoa rushwa na chama.
 
Heri mchakato urudiwe nchi nzima, maana hakuna sehemu isiyonuka rushwa.
 
Shida yakianza kufuatiliwa hayo zaid ya theluthi moja ya majimbo yatatarudia uchaguz
 
Back
Top Bottom