Uchaguzi 2020 Taarifa kwa Makatibu CCM Taifa, mchakato wa kumchagua Mgombea Udiwani Kata ya Mtera ulikuwa na rushwa za wazi

Uchaguzi 2020 Taarifa kwa Makatibu CCM Taifa, mchakato wa kumchagua Mgombea Udiwani Kata ya Mtera ulikuwa na rushwa za wazi

Kwa ujumla wakichunguza mchakato wa uchaguzi wa ndani jimbo la kibakwe kuanzia uchaguzi wa mbunge watakuta uchafu wa kiwango cha juu ilifikia mahari taasisi nyeti inayoshughurikia rushwa ndiyo walikuwa wanatumika kuzigawa kwa wajumbe nilitamani mwenyekiti ccm taifa alijue hili.
Nilishuhudia wazee wa kung'ata ndio walikuwa wagawaji sijaelewa mpaka Leo.
 
Back
Top Bottom