Kwa ujumla wakichunguza mchakato wa uchaguzi wa ndani jimbo la kibakwe kuanzia uchaguzi wa mbunge watakuta uchafu wa kiwango cha juu ilifikia mahari taasisi nyeti inayoshughurikia rushwa ndiyo walikuwa wanatumika kuzigawa kwa wajumbe nilitamani mwenyekiti ccm taifa alijue hili.