BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Taarifa kwa Umma kutoka CCM kama ilivyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wanajizatiti kutawala waTz na kudhibiti wenye maono yofauti na maono yao sio kujizatiti kuondoa maradhi ,umaskini na ujinga.Heko CCM. Wakati Vyama vya Upinzani vinahangaika na ajenda za kudandia na kupinga kila kitu, CCM inazidi kujizatiti kwa kuandaa Viongozi wake kiuadilifu na wazalendo kulitumikia Taifa. Sioni Chama Cha kuiondoa CCM madarakani mpaka Dunia hii inakwisha kwa namna wanavyojijenga kimifumo kila uchao.
Ni nyingi sababu wao wanapiga pesa kilaini kabisaRasilimali ni nyingi muno..sasa why kukopa daily..why kukamua wanyonge kwa tozo za kiwaki.. CCM sio chama cha kuwakomboa wanyonge.. CCM imekuwa ni syndicate cartel ya watu wachache
Kivipi mkuu......Nilicheka sana pembeni yangu jamaa alishangaa kuona ssh anamaliza hotuba as if mtu fulani alikuwa anatumbuiza jukwaa, akaniuliza ndo kamaliza? Nami nikamjibu, ndo kamaliza hvyo mke wa mtu rais wenu. Tanzania inahitaji maombi sana kwakweli
RubbishTaarifa kwa Umma kutoka CCM kama ilivyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
View attachment 2129498
View attachment 2129499
Total rubbishRubbish
Kwa kweli nchi inapitia kwenye wakati mgumu snNilicheka sana pembeni yangu jamaa alishangaa kuona ssh anamaliza hotuba as if mtu fulani alikuwa anatumbuiza jukwaa, akaniuliza ndo kamaliza? Nami nikamjibu, ndo kamaliza hvyo mke wa mtu rais wenu. Tanzania inahitaji maombi sana kwakweli
Huyo "jamaa yako" alikua anataka kumaanisha kwamba "mke wa mtu" hapaswi kuwa Rais ?Nilicheka sana pembeni yangu jamaa alishangaa kuona ssh anamaliza hotuba as if mtu fulani alikuwa anatumbuiza jukwaa, akaniuliza ndo kamaliza? Nami nikamjibu, ndo kamaliza hvyo mke wa mtu rais wenu. Tanzania inahitaji maombi sana kwakweli
Non senseNilicheka sana pembeni yangu jamaa alishangaa kuona ssh anamaliza hotuba as if mtu fulani alikuwa anatumbuiza jukwaa, akaniuliza ndo kamaliza? Nami nikamjibu, ndo kamaliza hvyo mke wa mtu rais wenu. Tanzania inahitaji maombi sana kwakweli
Mkuu una maanisha CCM, ANC, SWAPO, ZANU-PF na FRELIMO wamekopa hizo fedha ?Rasilimali ni nyingi muno..sasa why kukopa daily..why kukamua wanyonge kwa tozo za kiwaki.. CCM sio chama cha kuwakomboa wanyonge.. CCM imekuwa ni syndicate cartel ya watu wachache
😍Taarifa kwa Umma kutoka CCM kama ilivyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
View attachment 2129498
View attachment 2129499
Anayepitia wakati mgumu ni yule "mkuu wenu" mbishi anayetumia mtondoo kule selo......Kwa kweli nchi inapitia kwenye wakati mgumu sn
👍👋🇹🇿🙏 Ahsante Kwa Taarifa BWANKUU