Taarifa kwa umma kwa wasafiri wanaokwenda Hong Kong

Vipi inawezekana nao wakija huko kwetu wawekewe vikwazo? au sisi hatuna mamlaka hiyo.
Sisi viwanja vyetu vikubwa JNIA na KIA vinaendeshwa na wageni, KIA kasimama Mwarabu, na JNIA kasimama SwissPort japo mwarabu naye anapanyemelea.
 
Ndio maana JPM alisema wanyongwe tu na balozi zisihusishwe na kujihusisha na powders.
 
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…