Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ni uamuzi wa hiari kabisa ambao nimeufanya nikiwa na akili timamu tena bila shinikizo au ushawishi wowote.
Kwamba kuanzia leo nitakuwa Mwanachama kindakindaki wa Klabu ya Simba.
Kwamba nimeachana kabisa na Klabu ya Yanga bila chuki wala husuda.
Kwamba nimeamua kuunga mkono mafanikio makubwa yanayotokana na juhudi kubwa za Uongozi wa Klabu ya Simba.
Kwamba Klabu ya Simba imeitangaza nchi yetu vema kupitia Utalii.
Kwamba Mimi Mtanzania Mzalendo ninafurahia kuwa sehemu ya mafanikio ya Kimichezo nchini Tanzania.
Hongera sana Klabu ya Simba kwa kuitekeleza kivitendo Ilani ya Uchaguzi cha Chama Tawala.
Kwamba kuanzia leo nitakuwa Mwanachama kindakindaki wa Klabu ya Simba.
Kwamba nimeachana kabisa na Klabu ya Yanga bila chuki wala husuda.
Kwamba nimeamua kuunga mkono mafanikio makubwa yanayotokana na juhudi kubwa za Uongozi wa Klabu ya Simba.
Kwamba Klabu ya Simba imeitangaza nchi yetu vema kupitia Utalii.
Kwamba Mimi Mtanzania Mzalendo ninafurahia kuwa sehemu ya mafanikio ya Kimichezo nchini Tanzania.
Hongera sana Klabu ya Simba kwa kuitekeleza kivitendo Ilani ya Uchaguzi cha Chama Tawala.