Taarifa kwa umma: Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amtembelea Rais Mstaafu Dk. Ali Mohamed Shein

Taarifa kwa umma: Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amtembelea Rais Mstaafu Dk. Ali Mohamed Shein

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlhajDk. Hussein Ali Mwinyi amemtembelea kumjulia hali Rais Mstaaf wa Zanzibar awamu ya Saba Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, nyumbani kwake Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya kumsalimia nakuzungumza naye.

1.jpg
2.jpg
 
Shein kwao si Pemba, nilifikiri atakuwa kwao Pemba.

Sijui kwanini Wapemba hawapapendi Pemba.
 
Mwinyi style yake ya uongozi kidogo inavutia, kinda social but also anawatumbua.
 
Mbona ndan ni pa kawaida ,nilitegemea nione feniture kalii za kisasa kunawaka ndani....
 
Anajua kuuma na kuouliza bila fukua makaburi ....eti hataki muhali na MTU .....
 
Hii habari inaletwa kila baada ya muda gani humu jf?
 
Punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Zanzibar ina Rais.Ukweli mchungu ni kwamba Zanzibar inaongozwa kutokea Bara kwa kutumia remote controll!
 
Taarifa hii ina manufaa gani kwa wananchi
tunaolala njaa,
tunaotekwa,
tunaofunga biashara,
tusiyo na ajira,
tulionyimwa demokrasia, n.k?????
 
Salaam ya kuwekeana hatua social distancing hakuna kukumbatiana wala kupeana salamu za mikono au kubusiana kama waarabu wa Pemba au waajemi wa Kishirazi, kweli tujihadhari na korona
 
Mwinyi ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar tu hapo kamtembelea mkuu wa mkoa mstaafu wa zanzibar

Raisi ni mmoja tu
 
Back
Top Bottom