Taarifa kwa Umma tamko la Wizara ya Afya kuhusu tukio la askari wa ulinzi SUMA – JKT kutuhumiwa kumpiga ndugu wa mgonjwa

Na wale wanaochapa watu Hovyo hovyo watachukuliwa hatua gani?
 
It is too cheap kwa mamlaka za juu za wizara kutoa taarifa ya ovyo ovyo kwa jambo ambalo lingepaswa kutolewa taarifa na maamuzi siku ile ile na mganga mfawidhi wa hospitali husika.

Watanzania kwa sasa wanataka kusikia taarifa kuhusu hali ya Corona hapa Tanzania, maana karibu hospitali zote za rufaa za mikoa na kadha zinaripoti kimya kimya uwepo wa wagonjwa na vifo vinavyotokana na dalili zile zile za Corona.

Acheni blah blah za kututoa kwenye mambo ya msingi na kutuletea spinning.
 
Au tuambieni kuhusu Korona, . Hili La Mlinzi ,RMO angeweza Kulimaliza .

kuhusu Tuambiwe Mapema tuchukue tahadhari mapemaa, watu tunapumuliana tu kwenye daladala Bila kuvaa Barakoaa
 
Tuna wapongeza kwa hatua mliyochukua.
 
Hawa Suma walizungumzwa humu kuhusu utovu wao wa nidhamu na kujitia ubabe.
 
Hawa walinzi wa suma JKT wengi wao wanamatatizo yakisaikolojia hawajui wajibu wao kabisa wamejaa usela mavi wakupiga piga raia wakijiona ni wanajeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…