Taarifa Kwa Umma Toka Jeshi la Polisi Makao Makuu

Taarifa Kwa Umma Toka Jeshi la Polisi Makao Makuu

Mkuu umefanya vizuri sana ili kukata maneno ya ovyo yanayotolewa kwa mara nyingine kwa fitina ama ujinga wa watu pengine wenye uelewa mdogo ambao ndio wengi hapa kwetu, dhidi ya jeshi letula polisi.

Kwa utaratibu huu, bila shaka tutafika mahala pazuri tu kwamba jeshi litapewa heshima inayostahili, na litafanya kazi kwa weledi na haki.
Kwa kuanzia tu mkuu, bila shaka umekuwa ukisikia mara kwa mara watu wakiuliza, kwa kutafa kujua maendeleo ya upelelezi wa kupotea kwa Azori Gwanda, Ben Saanane na vifo vya Kamanda Mawazo, Paul Mwangosi, jaribio la mauaji la Tundu Lisu na aliyefyatua risasi za moto kwenye maandamano ya amani akamuua Aquilina mtoto wetu.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mkuu umefanya vizuri sana ili kukata maneno ya ovyo yanayotolewa kwa mara nyingine kwa fitina ama ujinga wa watu pengine wenye uelewa mdogo ambao ndio wengi hapa kwetu, dhidi ya jeshi letula polisi.

Kwa utaratibu huu, bila shaka tutafika mahala pazuri tu kwamba jeshi litapewa heshima inayostahili, na litafanya kazi kwa weledi na haki.

Kwa kuanzia tu mkuu, bila shaka umekuwa ukisikia mara kwa mara watu wakiuliza, kwa kutafa kujua maendeleo ya upelelezi wa kupotea kwa Azori Gwanda, Ben Saanane na vifo vya Kamanda Mawazo, Paul Mwangosi, na jaribio la mauaji la Tundu Lisu.

Mungu Ibariki Tanzania
Naona wamewahi kujibu shutuma
 
Mr. Police, this is nonsense, hamuwezi kujichunguza, mtapendeleana kama ilivyo kawaida yenu. Mtasema uongo kulindana, tumewazoea hivyo. Hakuna kitu hapo.
Sasa wewe unataka achunguze nani? Hujui katika makosa ya kazini kuna personal offences pia? Hivi unapokataza viongozi wasimamizi wa ngazi za juu wa Jeshi letu wasichunguze, unaquestion credibilities za mamlaka ya uteuzi? Kwamba IGP ndiye anawatuma askari wabake na kubambikia kesi watu?

Wewe toa taarifa sahihi mahala sahihi. Ukiona matokeo hayajakuridhisha, apeal kwenye ngazi za juu zaidi, maadamu wametukaribisha. Hofu ya nini?
 
Mkuu umefanya vizuri sana ili kukata maneno ya ovyo yanayotolewa kwa mara nyingine kwa fitina ama ujinga wa watu pengine wenye uelewa mdogo ambao ndio wengi hapa kwetu, dhidi ya jeshi letula polisi.

Kwa utaratibu huu, bila shaka tutafika mahala pazuri tu kwamba jeshi litapewa heshima inayostahili, na litafanya kazi kwa weledi na haki.
Kwa kuanzia tu mkuu, bila shaka umekuwa ukisikia mara kwa mara watu wakiuliza, kwa kutafa kujua maendeleo ya upelelezi wa kupotea kwa Azori Gwanda, Ben Saanane na vifo vya Kamanda Mawazo, Paul Mwangosi, jaribio la mauaji la Tundu Lisu na aliyefyatua risasi za moto kwenye maandamano ya amani akamuua Aquilina mtoto wetu.

Mungu Ibariki Tanzania

Hapo kwa kina Lissu, Mawazo, Azory, Ben, Aquilina na hata wa kwenye viroba kusikia wamesikia ni kujitia hamnazo tu.
 
Sasa wewe unataka achunguze nani? Hujui katika makosa ya kazini kuna personal offences pia? Hivi unapokataza viongozi wasimamizi wa ngazi za juu wa Jeshi letu wasichunguze, unaquestion credibilities za mamlaka ya uteuzi? Kwamba IGP ndiye anawatuma askari wabake na kubambikia kesi watu?

Wewe toa taarifa sahihi mahala sahihi. Ukiona matokeo hayajakuridhisha, apeal kwenye ngazi za juu zaidi, maadamu wametukaribisha. Hofu ya nini?
Historia yao si nzuri kujichunguza. Polisi ya Tanzania haina sifa ya kujichunguza na kutenda haki. Akwilina iliishia wapi? mfano mzuri tu huo...
 
Back
Top Bottom