Taarifa kwa Umma wa watanzania na wana JamiiForums wote

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tokea juzi Ijumaa Jioni hadi Alfajiri hii ya leo ID yangu hii ya GENTAMYCINE ilikuwa Imedukuliwa na Wahuni hivyo kama kuna Maudhui yoyote yaliandikwa tokea hiyo juzi hadi jana jua si yangu bali ni ya hao Wadukuaji Wahuni wakiongozwa na adriz, Dada Nifah, Popoma Tate Mkuu na Rafiki yangu Ndumilakuwili Bila bila

Poleni sana kwa Usumbufu wowote mlioupata ila kuanzia sasa ( leo ) GENTAMYCINE mwenyewe nimesharudi rasmi hapa JamiiForums hivyo tutaendelea kuwa pamoja japo nina Machungu yangu ( Usununu wangu ) juu ya kilichotokea kwani naamini Kitatawala Wiki au Mwezi mzima kutokana na Upuuzi wa Waarabu Koko waliojitakia dhahama wenyewe kwa kuwahi kuja Dar es Salaam na Wakakaangwa hadi Wakakaangika.
 
kwahivyo kwakua mahubiri yako ya wiki nzima dhidi ya Wananchi yameenda kinyume na muujiza uliotarajia ndio udukuzi wenyewe sio right πŸ’
 
Kama kipigo cha Belouizdad kimekufanya ukane nyuzi zako, basi pole pole tu hadi utafikia kuikana jinsia yako..!!

Kipigo cha mbwa koko alichopewa mliyekuwa mnamshangilia, kimewafanya mkane post zenu..!!

BTW,

5IMBA - 1 = BELOUIZDAD
 
Mwezi umeandama huko

Kumekucha
 
πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…