Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma

Ona ulivyo mweupe Sasa . Hakuna kigezo Cha fifa kinachombeba mfungaji Kwa idadi ya mechi . Mtu anabebwa na muda alioutumia uwanjani 😂😂😂😂. Shida Yako hujui ila unajikutaga mjuaji
View attachment 2651877
Unaelewa nilimaanisha hivyo ila kwakua umeamua kutumia advantage ya kufanya kebehi I finna let you win
 
Hujui kila nchi inakuwa na sheria zake?

Hata CAF wanasheria zao, mfano ule mwako ambao mrisho ngasa achukue kiatu CAF, kulikuwa na wenzake watano waliofunga magoli sawa.

Lakini

Vigezo vya FIFA vinambeba Saido kutokana na uchache wa mechi, hata hivyo kunakuwa na vigezo ambavyo kama nchi inaamua kuviweka.

Ndio maana mpaka sasa hakuna kauli yeyote kutoka bodi ya ligi ila huku mtandaoni watu mshajimilikisha viatu.
Sasa hii ni ligi ya FIFA? na tukienda huko ndio hampati hata stocks
 
View attachment 2651852

MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Ndio bodi ya ligi wameleta sisi tufanyaje Sasa Mkuu![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hujui kila nchi inakuwa na sheria zake?

Hata CAF wanasheria zao, mfano ule mwako ambao mrisho ngasa achukue kiatu CAF, kulikuwa na wenzake watano waliofunga magoli sawa.

Lakini

Vigezo vya FIFA vinambeba Saido kutokana na uchache wa mechi, hata hivyo kunakuwa na vigezo ambavyo kama nchi inaamua kuviweka.

Ndio maana mpaka sasa hakuna kauli yeyote kutoka bodi ya ligi ila huku mtandaoni watu mshajimilikisha viatu.
Sasa sisi Tanzania Sheria yetu si ndo hii hapa, ama?
Screenshot_20230609-201040.jpg
 
Simba ni genge la wahuni kama ilivyo kwa TFF.

Mchezaji mmoja anafunga magoli 7 kwenye mechi 2 mfululizo za mwisho!

Hapa kuna upangaji wa matokeo, wahusika fanyeni kazi zenu
 
Back
Top Bottom