Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
🤣🤣🤣🤣🤣Classmate wa Saido, sasa hilo nalo alaumiwe Yanga??View attachment 2651852
MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Unaelewa nilimaanisha hivyo ila kwakua umeamua kutumia advantage ya kufanya kebehi I finna let you winOna ulivyo mweupe Sasa . Hakuna kigezo Cha fifa kinachombeba mfungaji Kwa idadi ya mechi . Mtu anabebwa na muda alioutumia uwanjani 😂😂😂😂. Shida Yako hujui ila unajikutaga mjuaji
View attachment 2651877
Sasa hii ni ligi ya FIFA? na tukienda huko ndio hampati hata stocksHujui kila nchi inakuwa na sheria zake?
Hata CAF wanasheria zao, mfano ule mwako ambao mrisho ngasa achukue kiatu CAF, kulikuwa na wenzake watano waliofunga magoli sawa.
Lakini
Vigezo vya FIFA vinambeba Saido kutokana na uchache wa mechi, hata hivyo kunakuwa na vigezo ambavyo kama nchi inaamua kuviweka.
Ndio maana mpaka sasa hakuna kauli yeyote kutoka bodi ya ligi ila huku mtandaoni watu mshajimilikisha viatu.
Ndio bodi ya ligi wameleta sisi tufanyaje Sasa Mkuu![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2651852
MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Sasa sisi Tanzania Sheria yetu si ndo hii hapa, ama?Hujui kila nchi inakuwa na sheria zake?
Hata CAF wanasheria zao, mfano ule mwako ambao mrisho ngasa achukue kiatu CAF, kulikuwa na wenzake watano waliofunga magoli sawa.
Lakini
Vigezo vya FIFA vinambeba Saido kutokana na uchache wa mechi, hata hivyo kunakuwa na vigezo ambavyo kama nchi inaamua kuviweka.
Ndio maana mpaka sasa hakuna kauli yeyote kutoka bodi ya ligi ila huku mtandaoni watu mshajimilikisha viatu.
Aaah wapi..kumbe na nyie mnataka kiatu..[emoji23][emoji23][emoji23] kila kitu kinawakataa jezi nzito imewaponza
Kiatu hakukua kwenye malengo yetu msimu huuAaah wapi..kumbe na nyie mnataka kiatu..